

Prezzo alitumia nafac hiyo kuwaomba Radhi waNigeria kwa matukio ambayo alikua akimfanyia Goldie ndani ya Jumba hilo Tukio hilo pia lilikua likitangazwa kupitia TV ya Taifa ya Nigeria,Mkali huyo toka Kenya amesisitiza kua hakuenda Nigeria kucheza bali ameenda kwa malengo maalum,lakini pia alisema kua ili ushindi wake utimie basi apate msamaha toka kwa Goldie na ikiwezekana afunge nae pingu hadi naandika habar hii Goldie hajatoa tamko lolote juu ya hili.
Katika hatua nyengine Prezzo ambae aliondoka toka Nairobi Kenya siku ya Ijumaa kuelekea Abuja alionekana kweli anania ya kumtwaa mrembo huyo nakupata Baraka na msamaha wa wanigeria alidondoka Dresscode ya Nigeria.
Je Goldie atamsamehe Prezzo?Je?akimsamehe ndoa itafungwa?
.
0 comments:
Post a Comment