Tuesday, August 21, 2012

Nicki Minaj Anamatatizo ya Kiafya


Fist Lady huyo wa YMCMB Siku za hivi karibuni amekua akipiga Show non stop katika miji mbali mbali Duniani.Show hizo zimeonekana kuanza kumuathiri kiafya.Rapa huyo ameamua kusitisha Show zake za Uingereza coz ameanza kupata matatizo ya sauti yake.
kwa mujibu wa mtandao wa HUFFINGTONE POST,Mwakilishi wake ametuma email inayosema kua Nikki atatakiwa kupumzika kuperform kwenye tamasha la siku mbili la V.FIESTIVAL.Kutokana na kile alichosema STAINED VOCAL CHORDS.Habari ambazo zimenifikia ni kwamba siku za hivi karibuni Rapa huyo wa YMCMB alifanya Show moja ya Bure jijini NEW YORK iliyodumu kwa takriban Masaa mawili.

0 comments:

Post a Comment