Wednesday, August 22, 2012

DIAMOND FT J.MARTIN


 
Diamond Plutnam Tayari ameshamaliza kurekodi Sehem yake katika Ngoma ambayo anatarajia kumshirikisha J.Martin wa Nigeria ambae ni Producer na Muimbaji pia.kwa Sasa mkali J.Martin yupo marekani kwa ajili ya kozi fupi ya utaarishaji wa mziki.
Katika ngoma hiyo ambayo kwa Upande wa Tanzania imefanyika MJ Rec chini ya muandaaji Makochali.
katika Hatua nyingine Diamond ameshirikiana kwa ukaribu zaid na Dancer wake ambae amesikika katika ngoma hiyo dancer huyo anajulikana kwa jina la Jose.Watanzania tunasubiri kuona kolable hilo.
KILA LA KHERI DIAMOND.

0 comments:

Post a Comment