Tuesday, August 21, 2012

Miaka Saba ya Complex na Vivian.

Siku ya Tarehe 21Augost 2005.Nisiku ambayo majonzi yalitanda kwa upande wa Tasnia ya Music pamoja na Habari hapa nchini Tanzania.
Kwa upande wa Music. Producer wa ngoma kama ni Raha tu,na Nyengine kibao alifariki Duniani.hapa Namzungumzia Compex ambae pia alikua ni muimbaji wa Bongo flaver.
  Upande wa Habari Waandishi na Watangazaji tuliondokewa na Vivian ambae alikua mtangazaji maarufu hapa Tanzania
 Inakumbukwa vizuri na Watanzania wengi kua Ajali ya Gari ndio chanzo cha vifo vya wawili hao.wapenda nao.Mungu awape amani pale walipopumzika wapenda nao hao.ambao wamefariki Dunia pamoja.
                                                      TUNAZIDI KUNAWAOMBEA 




0 comments:

Post a Comment