
Kupitia ukurasa wake wa FACEBOOK Msanii ambae alitamba na ngoma kibao ambazo zilifanya vizuri hapa Tanzania ingawa kwa sasa maisha yake yapo nje ya nchi hapa namzungumzia Mad Ice amethibisha kua atapiga Show Ngome Kongwe ndani ya Visiwa vya marashi ya karafuu.
Lakini pia nilimtafuta mmoja wa wadau ambao wanaushughulikia mchongo huo kwa njia ya simu akanithibitisha juu ya hilo pia Ingawa hakutaka jina lake litajwe kupitia Uptowntz.Ni mtangazaji maarufu wa Entertainment katika moja kati ya Radio za Zanzibar.Jina tunamuhifadhi kama alivyotaka na sababu alizotoa kua bado mapema sana siku ikifika atanitafuta
Hii hapa post ya Made Ice
SPECIAL ANOUNCEMENT: Tarehe 13 October nipo ndani ya Ngome Kongwe na Afribisa band kutoa burudani kwa fans wangu wa Zanzibar. Stay tuned, more info coming soon! One Lov
0 comments:
Post a Comment