Tuesday, August 14, 2012
Home »
»
Barnabas kutoka jumba la Vipaji(THT) ambaye anayefahamika pia kwa jina la B Boy ndiye
msanii pekee kutoka Bongo ambaye ataiwakilisha tz Bongo am Jakaya Land katika
Africauniplagged music fastival kwa ajili ya kuisaidia Congo pamoja na watoto
walioathiirika na vita litakalofanyika London Uingereza siku ya tarehe 27 August katika
ukumbi wa Wembly Arena ambapo atakuwa na wakali 20 kutoka nchi 15 watakaoshika
mic moja pamoja nae
2face Idibia,Iyanya na Flavour-Nigeria,Zahara na Zakes Bantwini - South Africa,Cabbo
Snoop-Angola,Fally Pupa-Congo,R2bees and Sarkodie-Ghana,Dj Arafat-Ivory Cost
zamani Cote Duvaa,Winky D na Mc Inity - Zimbabwe
0 comments:
Post a Comment