Rapper wa kike kutoka nchini Uganda Keko ameshawasili jijini Mwanza leo saa mbili asubuhi.
Keko ambaye hii ni mara ya kwanza kuja Tanzania, ataperform
kwenye hoteli ya Star Max.
Amesema pamoja na kuja Mwanza tayari yupo kwenye mazungumzo
na MwanaFA kwaajili ya kufanya ngoma pamoja. ‘I am big fan of Mwana FA we are actually
working out something as we speak . I am looking forward and hopefully bumping
to Fid Q when I am in Mwanza, ” amesema.
0 comments:
Post a Comment