Sunday, August 19, 2012

Keko ndani ya Rock city.mwanza.




Rapper wa kike kutoka nchini Uganda Keko ameshawasili jijini Mwanza leo saa mbili asubuhi.

Keko ambaye hii ni mara ya kwanza kuja Tanzania, ataperform kwenye hoteli ya Star Max.

Amesema pamoja na kuja Mwanza tayari yupo kwenye mazungumzo na MwanaFA kwaajili ya kufanya ngoma pamoja. ‘I am big fan of Mwana FA we are actually working out something as we speak . I am looking forward and hopefully bumping to Fid Q when I am in Mwanza, ” amesema.

Ameongeza kuwa kama kuna promoter yeyote wa Dar es Salaam ambaye angependa kufanya show naye nafasi ipo wazi.

0 comments:

Post a Comment