This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, August 31, 2012

Mwanza All Stars

http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/0/01/Mwanza_wilaya.png

MARTIN KADINDA AWASILI NDANI YA NEW YORK



                                                                  Martin Kadinda
The young designer kutoka hapa bongo ambaye alipata mwaliko wakwenda nchini marekani katika Edition ya Africa New York fashion weekambayo yanafanyika nchini marekani.Namzungumzia Martin kadinda ameshawasili rasmi leo nchini marekani kwa ajili ya mwaliko  huu wa Africa New York fashion week ambayo yatafanyika hii leo katika mji wa New York nchini marekani

Thursday, August 30, 2012

Brandy - Put It Down ft. Chris Brown

Linex,Suma Lee na Baba Levo wapata ajali


Linex,Suma Lee na Baba Levo wapata ajali ya Gari walipokua njiani kuelekea kigoma kufanya show Kigoma                           
 akizungumzia ajali hiyo Linex amesema hawakua ktk mwendo kasi bali ajali hiyo imesababishwa na basi la abiria lililokaa kati kati ya barabara na hivyo Suma lee ambae ndo alikua Dereva wa gari hilo ameamua kulikwepa ndipo gari likaacha njia.
                           

Wednesday, August 29, 2012

Wakazi Live in Ohio (Halloween 2011)

Tunda man - Dem sio (Official Video)

T.I.D MBARONI TENA.MARA HII IKIDAIWA ANATAKA KUMUUA ALI KIBA soma hii hapa.



Ally Kiba na T.I.D 
Baada ya kuhojiwa na polisi kwa saa nane,mwanamke ambae anashutumiwa kutaka kumuua Ali Kiba, mwanamke huyo alikiri kwamba alitumwa na T.I.D kwenda kumuua Ally Kiba.
Upande wa pili wa Shilingi haya ndio yaliyosemwa T.I.D amesema “kwa nini nimuue Ally Kiba bwana, si mtu wangu nampenda kabisa bwana, kweli sasa hivi niko polisi kwa ajili ya kuhojiwa, nilikua safari, nimerudi sasa sijui mwanamke gani anaweza kufanya hivyo, siwezi kufanya hivyo, kwa sababu gani? toka nimezaliwa sijawahi kugombana na Ally Kiba, ukibisha muulize mwenyewe kama ameshawahi kukorofishana na mimi,nia ya hao watu ni kuniangusha mimi nionekane ni mtu mbaya nisiuze mziki wangu nisipendwe”
meneja wa Ally Kiba nae amesema haya“hakuna taarifa zozote ambazo ziko tayari kutolewa kwenye vyombo vya habari  kwa sasa hivi  tuwaachie polisi wafanye kazi yao kwanza”
Habari zinazidi kueleza kua mwanamke huyo pamoja na watu wengine ambao wametumwa kukamilisha zoez hilo hawatokei mkoa wa Dar es salaam bali wameingia Dar kwa kaz hiyo tu.Bado Uptowntz inaendelea na umakini wa habari hii kupata tuko hilo zima keep visit us

Sunday, August 26, 2012

Usher - Dive

Music Video: E-40 "Function (Coast to Coast Remix)"

(Official Video HD) Abela "Ball&Chain"

AVRIL AMKOSA LINEX WA IFOLA

 
Siku za hivi karibuni kupitia uptowntz tuliwafahamisha kuhusu Ujio wa KEKO na nia yake ya kufanya ngoma na wakali wa Bongo kama Hamisi mwinjuma na Farid Kubabanda i mean FA&FQ.Mkali huyo toka 256 alisema kua Chaguo lake la kwanza ni FA.

Sasa leo madivas wawili wa 254 watakua Club Billcanas hapa nawazungumzia madivaz wanaotamba na ngoma ya Chokoza Avril na Marya.
Kitu kimoja uptowntz ilitaka kukifaham kutoka kwa Avril Je anataka kufanya ngoma na mkali gani hapa Tanzania Bongo land kwa Baba Ridhwani.Avril bila kuficha alimtaja kijana toka Kigoma ambae amesikika katika Chorus ya Leka Dutigite Linex kua ndio chaguo lake la kwanza.

Bahati mbaya iliyopo kua wakati leo ndio siku ya Show Linex nae atakua Kigoma katika harakati zake za kikazi kuna uwezokano mkubwa 90% ya kutokuwepo kwa kolabo hilo kati ya Avril & Linex.

NEW HIT:LINAH - USHAFAHAMU NAPENDA


New Video:JUMA JAZZ ft MIRROR NAMBA

Saturday, August 25, 2012

Video: P-Square's Press Conference kwa Bibi London

MAD ICE APIGA SHOW NGOME KONGWE OCTOBER


Kupitia ukurasa wake wa FACEBOOK Msanii ambae alitamba na ngoma kibao ambazo zilifanya vizuri hapa Tanzania ingawa kwa sasa maisha yake yapo nje ya nchi hapa namzungumzia Mad Ice amethibisha kua atapiga Show Ngome Kongwe ndani ya Visiwa vya marashi ya karafuu.
   Lakini pia nilimtafuta mmoja wa wadau ambao wanaushughulikia mchongo huo kwa njia ya simu akanithibitisha juu ya hilo pia Ingawa hakutaka jina lake litajwe kupitia Uptowntz.Ni mtangazaji maarufu wa Entertainment katika moja kati ya Radio za Zanzibar.Jina tunamuhifadhi kama alivyotaka na sababu alizotoa kua bado mapema sana siku ikifika atanitafuta

Hii hapa post ya Made Ice

SPECIAL ANOUNCEMENT: Tarehe 13 October nipo ndani ya Ngome Kongwe na Afribisa band kutoa burudani kwa fans wangu wa Zanzibar. Stay tuned, more info coming soon! One Lov

Friday, August 24, 2012

Kanye kwenye Twitter: ‘I just f** her!!!

 
Iwe aliandika kwa utani ama vyovyote, Kanye amefanya kitu ambacho kinatarajiwa kupigiwa kelele sana. Tweet hii ameifuta sekunde chache tu baada ya kuiandika lakini watu wameinasa. Swali kwenye kila mdomo wa shabiki wake, kwanini atweet kitu kama hicho?
 
Hata kama anamchukulia Kim Kardashian kama ‘Perfect Bitch’ ndio aandike hivyo? Hivi karibuni Kim alisema kuwa amepungua uzito kwasababu Kanye anampiga mikasi kisawasawa, kwa tweet hiyo tumeamini! It’s crazy!!!

NEW HIT SONG: Pah One - ASAMBEENI


Thursday, August 23, 2012

Prezzo akiwa Nigeria

Maswali ya Polisi - D.N.A OFFICIAL VIDEO

Prezzo Amfuata Goldie Abuja

Sio rumours tena ila kwa sasa ni official. yakwamba Prezzo ametia maguu Nigeria kwa dhumuni la kurudi na Goldie ambae walikutana Bondeni pale kwa mzee Madiba katika jumba lenye kila aina ya vituko hapa nazungumzia Big Brother Africa Stargame(BBA) ya mwaka 2012.Kumbuka kua uhusiano wao ulianzia kwenye jumba hilo na kama ulikua unafuatilia shindano hilo la BBA utagundua kua wawili hao japo kua walikua wanauhusiano ila uhusiano wao uligubikwa na mizengwe na migongano mingi mno,Lakini hapa mshindi huyu wa nafac ya pili wa Shindano hilo toka 254 ameonesha kua yupo makwelini zaid



prezzo press conference

Prezzo alitumia nafac hiyo kuwaomba Radhi waNigeria kwa matukio ambayo alikua akimfanyia Goldie ndani ya Jumba hilo Tukio hilo pia lilikua likitangazwa kupitia TV ya Taifa ya Nigeria,Mkali huyo toka Kenya amesisitiza kua hakuenda Nigeria kucheza bali ameenda kwa malengo maalum,lakini pia alisema kua ili ushindi wake utimie basi apate msamaha toka kwa Goldie na ikiwezekana afunge nae pingu hadi naandika habar hii Goldie hajatoa tamko lolote juu ya hili.
Katika hatua nyengine Prezzo ambae aliondoka toka Nairobi Kenya siku ya Ijumaa kuelekea Abuja alionekana kweli anania ya kumtwaa mrembo huyo nakupata Baraka na msamaha wa wanigeria alidondoka Dresscode ya Nigeria.
Je Goldie atamsamehe Prezzo?Je?akimsamehe ndoa itafungwa?

.

Wednesday, August 22, 2012

AVRIL NA MARYA CLUB BILLCANAS JUMAPILI HII



Avri na Marya ambao ni mastaa wa hit single ya `Chokoza" wamekubali mwaliko wa kulimiliki stage club Billicanas jumapili hii Augost 26 2012 kwenye Extreem Brash na itakuwa ni mara yao ya pili kuja kufanya show pamoja baada ya hiyo hit single ya chokoza



Marya.

Mariah Carey Hamtaki Nicki Minaj kua Jaj.

 Siku za hivi karibuni Mariah Carey alichaguliwa kua Jaji wa msimu wa 12 wa Shindano la American Idol ambalo linatarajiwa kuanza Rasmi Januari 2013.Kuteuliwa kwa mkali huyo mke wa Nick Cannon kumetokana na kujiengua kwa Jaji ambao amedumu kwa muda mrefu katika safu hiyo ya majaji.Hapa namzungumzia Jenifer Lopez.
Siku chache kabla ya leo muaandaaji wa Shindano hilo alimpigia simu Jaji huyo mpya wa American Idol Mariah kumjulisha kua wapo katika hatua za mwisho za kumalizana na First Lady wa YMCMB Nicki Minaj ili aweze kuungana nae katika safu ya majaji.katika kile ambacho hakikutarajiwa Mariah alikata simu na kitendo hiko kimetafsiriwa kua Mariah amechukia na uteuzi /pendekezo hilo la kuwepo Rapa huyo wa kike katika safu ya majaji.
Mwaka 2010 Mariah alishawahi kufanya ngoma akimshirikisha Nicki Minaj.sasa Swali ni kwamba kwann anachukia uteuzi wake?

DIAMOND FT J.MARTIN


 
Diamond Plutnam Tayari ameshamaliza kurekodi Sehem yake katika Ngoma ambayo anatarajia kumshirikisha J.Martin wa Nigeria ambae ni Producer na Muimbaji pia.kwa Sasa mkali J.Martin yupo marekani kwa ajili ya kozi fupi ya utaarishaji wa mziki.
Katika ngoma hiyo ambayo kwa Upande wa Tanzania imefanyika MJ Rec chini ya muandaaji Makochali.
katika Hatua nyingine Diamond ameshirikiana kwa ukaribu zaid na Dancer wake ambae amesikika katika ngoma hiyo dancer huyo anajulikana kwa jina la Jose.Watanzania tunasubiri kuona kolable hilo.
KILA LA KHERI DIAMOND.

MICHAEL Feat AMINI & AT - OFFICIAL VIDEO HD

Tuesday, August 21, 2012

Nipunguzie MACHO - RAPDAMU [NEW MUSIC 2012]

Miaka Saba ya Complex na Vivian.

Siku ya Tarehe 21Augost 2005.Nisiku ambayo majonzi yalitanda kwa upande wa Tasnia ya Music pamoja na Habari hapa nchini Tanzania.
Kwa upande wa Music. Producer wa ngoma kama ni Raha tu,na Nyengine kibao alifariki Duniani.hapa Namzungumzia Compex ambae pia alikua ni muimbaji wa Bongo flaver.
  Upande wa Habari Waandishi na Watangazaji tuliondokewa na Vivian ambae alikua mtangazaji maarufu hapa Tanzania
 Inakumbukwa vizuri na Watanzania wengi kua Ajali ya Gari ndio chanzo cha vifo vya wawili hao.wapenda nao.Mungu awape amani pale walipopumzika wapenda nao hao.ambao wamefariki Dunia pamoja.
                                                      TUNAZIDI KUNAWAOMBEA 




Ngoma ya D'banj - Go Down Imevuja


UPTOWNTZ Imefuatilia Y Dbanj Amepata heshima kubwa ya Muda mfupi.. D Banj Alifahamika Kimataifa Kutokana na wimbo wake Wa FALL IN LAV uliokuwa Produced na Don Jazzy na pia Hivi karibuni alipata Label Kwa Kanye Magharibi a.k.a (KanyeWest) Kutokana na wimbo wake Wa OLIVER TWIST..

Walio Wengi Walidhani Kupitia Mafanikio Makubwa Dbanj Angetoa HitSong Baada Ya kuanzisha Label yake..Habari Ni Kwamba Wimbo Mpya Wa Dbanj Wa Go Down Ulivuja...Na Pia Hauna Ubora Unao Stahili

Jaribu Kuskiliza hii ndio ngoma yenyewe.D'banj - Go Down

P-Square - Alingo

Nicki Minaj Anamatatizo ya Kiafya


Fist Lady huyo wa YMCMB Siku za hivi karibuni amekua akipiga Show non stop katika miji mbali mbali Duniani.Show hizo zimeonekana kuanza kumuathiri kiafya.Rapa huyo ameamua kusitisha Show zake za Uingereza coz ameanza kupata matatizo ya sauti yake.
kwa mujibu wa mtandao wa HUFFINGTONE POST,Mwakilishi wake ametuma email inayosema kua Nikki atatakiwa kupumzika kuperform kwenye tamasha la siku mbili la V.FIESTIVAL.Kutokana na kile alichosema STAINED VOCAL CHORDS.Habari ambazo zimenifikia ni kwamba siku za hivi karibuni Rapa huyo wa YMCMB alifanya Show moja ya Bure jijini NEW YORK iliyodumu kwa takriban Masaa mawili.

Monday, August 20, 2012

Video:Chriss Brown amliza Rihanna.


Rihanna and Oprah
Rihana                                  Next Chapter                                          Oprah
Wakati Oprah akitajwa kua ndie mtangazaji anaetisha kwa maswali ya Hisia na ya kusisimua.Time hii kamfuata mkali wa BIRTHDAY CAKE"RIHANA" Nyumbani kwake.Rihana ambae alishindwa kuvumilia na kujikuta akimwaga machozi pale alipoulizwa kuhusu maisha yake na Zilipendwa wake Chriss Brown.
 
Pata nafac ya kutazama mahojiano hayo  hii ndio Video yenyewe.

Sunday, August 19, 2012

HAYA NDIO MATUSI YA J.MARTIN

                                 



Baada ya kumiliki gari ya kawaida aina ya Toyota Corolla, producer na msanii wa Nigeria J Martins, ameamua kufumba macho na kununua mikoko miwili ya gharama za kuangusha shavu chini Rolls Royce Phantom na Mercedes Benz G-Wagon.
Rolls Royce Phantom (Makadirio ya bei yake dola 470,295)
G-Wagon ipo kwenye meli tayari ikipelekwa nchini Nigeria na masuala ya makaratasi yanachelewesha usafirishwaji wa Rolls Royce Phantom ambayo tayari ameshailipia.

Mercedes Benz G-Wagon (Makadirio ya bei yake dola 128,535)
Kwa sasa yupo nchini Marekani ambako anachukua kozi maalum ya masuala ya utayarishaji wa muziki jijini New York.

Akiongea na mtandao wa Showtime, aliweka wazi kuwa aliondoka Nigeria July 3 kwaajili ya kozi hiyo ya miezi mitatu.

Tayari ameshafanya video mbili kwenye majiji ya Miami na Los Angeles.

Keko ndani ya Rock city.mwanza.




Rapper wa kike kutoka nchini Uganda Keko ameshawasili jijini Mwanza leo saa mbili asubuhi.

Keko ambaye hii ni mara ya kwanza kuja Tanzania, ataperform kwenye hoteli ya Star Max.

Amesema pamoja na kuja Mwanza tayari yupo kwenye mazungumzo na MwanaFA kwaajili ya kufanya ngoma pamoja. ‘I am big fan of Mwana FA we are actually working out something as we speak . I am looking forward and hopefully bumping to Fid Q when I am in Mwanza, ” amesema.

Ameongeza kuwa kama kuna promoter yeyote wa Dar es Salaam ambaye angependa kufanya show naye nafasi ipo wazi.

A.Y AMLETA GOLDIE WA BIG BROTHER BONGO LAND

 
.Goldie ambae alikua mwakilishi wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Africa 2012 amethibitisha kwamba anakuja Tanzania mwanzoni mwa September 2012 kwa ajili ya kazi moja tu.

Goldie anakuja kwa ajili ya kutimiza lengo lake la kuingia studio na kurekodi kolabo na Ambwene Yesaya a.k.a AY tu. Amesema anafurahi kujua anakuja Tanzania ambapo tayari Ay ameshamuahidi kumpeleka na kumuonyesha sehemu mbalimbali za Tanzania. Goldie ambae alifall inlove kwa Prezzo wa Kenya alimfahamu Ay kwa Prezzo ambae alikua anamuongelea sana, pia kupitia nyimbo zake zilizokua zikipigwa kwenye jumba la Big Brother na hasa wakati alipokua akigombana na Prezzo.. Big Brother alikua anapiga single ya Ay na Sauti Sol wa Kenya ya I dont wanna walk alone.