Tuesday, September 8, 2015

MKE WA ISON AMEKATAA KUMTAKIA MUMEWE HERI YA SIKU YA KUZALIWA (HAPPY BIRTHDAY)

Katika hali ya kawaida ikifikia tarehe inayolingana na tarehe ya siku uliyozaliwa kuadhimisha siku hiyo aidha kwa kufanya sherehe ama kufanya chochote kile ambacho nafsi yako inapenda,
Mara nyingi Mke ama Gil friend hua wanafanya juu chini ili wawe wakwanza kukuwish heri ya siku ya kuzaliwa, lakini kwa Ison Mambo yalikua tofauti.


Kila ifikapo tarehe 4 ya mwezi wa tisa Mkali kutoka Wrong Turn ISON MISTARI huadhimisha siku yake ya kuzaliwa kupitia ukurasa wake wa Facebook amelalamika namna hii kuhusu mke wake,

 R.I.P ‪#‎DAD‬ Sikuyaleo sinafuraha kabisa Japokua ndio siku niliyopaswa kuanafuraha sana KUTO KUEPO KWAKO KUMEFANYA MAMBOMENGI YASIENDE SAWA Lakini mwisho wayote naamini kua ndio ‪#‎MIPANGO_YA_MUNGU‬ kilamtu leohii alitamani kua wakwanza kuni wish ‪#‎happy_birthday_to_me‬ 4/9/2015 Lakini chaaajabu MAMA WATOTO WANGU amekataa kabisa kufanya hivyo Marafiki wamekua mstari wambele kunitakia kheri nabaraka katika siku yaleo . Lakini ‪#‎nduguzangu‬ Kama hawajui kua leo ndio siku nimezaliwa ‪#‎i_am_so_sad‬ Sinafuraha kabisa Ah!!!!! ‪#‎issa_mistari‬ wa New Wrongturn Tz — feeling stressed.
Unafikiri kwa nini Mama watoto wa Ison hakum wish Mumewe???? Hapa hapa jibu utalipata endelea kutembelea web hii.

0 comments:

Post a Comment