Monday, September 21, 2015

KUNA KITU CHA ZIADA KWENYE HII NGOMA JE WEWE UMEGUNDUA??JOBFIRE WA MELODY NIMEKOLEA [AUDIO]

Ni muda kidogo tangu iachiwe hewani rasmi ngoma hii ya JOBFIRE akiwa na ABRAMY leo hii nimeona sio mbaya kama ntakupa nafasi uisikilize tena kwa mara nyengine kwa sababu mimi nimegundua Ladha na namna nyengine tofauti ya ujumbe uliomo ndani yake Je?? wewe utaona ile tofauti ambayo mimi nimeona. ISIKILIZE KWA MAKINI HAPA CHINI.

0 comments:

Post a Comment