Kupitia Chief Editor wake ambae pia ni Chief Editor wa kampuni ya uuzaji na usambazaji wa Film hapa nchini MUSA OMARI (Samrani)
Ameichagua UPTOWNTZ kua balozi wa kampuni hiyo kwa upande wa zanzibar, sasa kazi ni kwako, ili kufanya kazi na kuisambaza kazi yako wasiliana nasi ili kutimiza malengo na ndoto za kua msanii mkubwa
0 comments:
Post a Comment