Sunday, November 9, 2014
Thursday, November 6, 2014
HII NDIO SABABU INAYOMFANYA ROSE MUHANDO ASIPANDE JUKWAANI NCHINI KENYA
Taarifa tulionayo ni kwamba mwanamuziki wa Injili Rose muhando alitarajiwa kutua nchini kenya kwa ajili ya kufanya show,
Baada ya malalamiko ya kua Rose muhando amekua hatokei kwenye matamasha anayoalikwa siku za hivi karibuni, wengine wakaenda mbali zaidi na kusema kua hua anawatapeli waandaaji wa matamasha mbalimbali
Yeye mwenyewe amekuja na sababu hii hapa
kwamba muimbaji imekuwa katika hospitali kwa siku kadhaa baada ya kufanyiwa upasuaji mguu wake,
Wednesday, November 5, 2014
Account ya Habida bado inashikiliwa na Hackers soma kilichoandikwa kwa Account hiyo ya FB ni aibu
Wiki ya tatu sasa Tangu ukurasa wa Facebook wa msanii mahiri toka 254 naizungumzia Kenya, HABIDA kushikiliwa na hackers ambao bado Hwajajulikana,
Hackers hao wamekua wakipost nasty posting kila kukicha.
Check hizi ni miongoni mwa post zilizopostiwa na Hackers kupia ukurasa wa Facebook wa Habida
BABA NA MWANA WAZALIWA PAMOJA
Hii ni Historia kubwa yaandikwa leo toka kwa Chief Editor wa Steps Entertainment, Musa Omar a.k.a Samran ,Amejaaliwa kupata mtoto wa kike leo ikiwa ni siku yake ya kusherehekia Birthday yake,
Baba na mwana tarehe moja ya kuzaliwa,
Hongera sana Samrani,Blogu hii inachukua nafac ya kukupongeza kwa kupata mtoto wa kike
Baba na mwana tarehe moja ya kuzaliwa,
Hongera sana Samrani,Blogu hii inachukua nafac ya kukupongeza kwa kupata mtoto wa kike
Chief Editor wa Steps Entertaimen,ANASHEREHEKIA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUTARAJIA KUPATA MTOTO.
Anajulikana kwa jina la Mussa Omar, ndio jina lake la kiserikali, Upande wa Tasnia unaweza kumuita Samrani,
Leo ni siku muhimu sana kwake huadhimisha siku yake ya kuzaliwa kila ikifika siku kama ya leo.
Mara nyingi katika tasnia ya Film tumekua tukiwafahamu wasanii,Wapiga picha,Directors na wengi neo wengi wanaoonekana kwa TV ama kuandikwa majina yao kwa Screen zetu tunapotazama hizo film za kibongo.
Mtu kama Chief Editor wa Steps Entertaimen, Ni mtu ambae muhim sana katika tasnia hii japo kua wengi wetu hatumfahamu kwa Sura,
HAPPY BIRTHDAY BROTHER. uptowntz.blogspot.com. imemtakia siku njema ya kuzaliwa.
Kama kawaida yangu nilichapa nae Stori kupitia mtandao wa kijamii Whatsupp soma hapa.
Mungu atafanya wepesi na INSHAALLAH mke wako atajifunga salama.
Leo ni siku muhimu sana kwake huadhimisha siku yake ya kuzaliwa kila ikifika siku kama ya leo.
Mara nyingi katika tasnia ya Film tumekua tukiwafahamu wasanii,Wapiga picha,Directors na wengi neo wengi wanaoonekana kwa TV ama kuandikwa majina yao kwa Screen zetu tunapotazama hizo film za kibongo.
Mtu kama Chief Editor wa Steps Entertaimen, Ni mtu ambae muhim sana katika tasnia hii japo kua wengi wetu hatumfahamu kwa Sura,
HAPPY BIRTHDAY BROTHER. uptowntz.blogspot.com. imemtakia siku njema ya kuzaliwa.
Kama kawaida yangu nilichapa nae Stori kupitia mtandao wa kijamii Whatsupp soma hapa.
Mungu atafanya wepesi na INSHAALLAH mke wako atajifunga salama.
KING POZZA FT UNIQUE VOICE - UMENISHINDA (ZENJI MUSIC)
Toka Visiwani Zanzibar King Poza ameachia mkwaju mwengine mpya akiwa kama Solo Artist, Mkwaju umetengenezwa ISLAND RECORDS,Chini ya Producer ALONEM,
Tunajua kua king puza ni mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi la ZEE TOWN SOLDIERZ,Likiiwakilisha vizuri sana Zanzibar katika mziki wa huu pendwa wa kizazi kipya, akiwashirikisha UNIQUE VOICE, ameachia mkwaju unaoitwa,UMENISHINDA. Usikilize hapa leo hii
FUNGA MWAKA & CAMP COMPETITION KUFANYIKA ZANZIBAR MWEZI HUU.
Katika kufunga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015,Mashindano ya Kucheza mziki a.k.a Dance yanatarajiwa kufanyika mwezi huu visiwani Zanzibar tarehe 21/11/2014, katika ukumbi wa Magereza,
Mapema leo asubuhi nilikua nachapa story kupitia mtandao wa kijamii Whatsupp na Queen Shinella toka visiwani Zanzibar alinihabarisha kuhusiana na Mashindano hayo pia yeye akiwa mmoja kati ya washiriki wa Shindano hilo.
Queen Shinella kushoto akiwa na Rafiki yake.
Mambo yalienda hivi asubuhi ya Leo
Tuesday, November 4, 2014
FID Q KUNYOA RASTA ZAKE NA HII NDIO STYLE ATAKAYONYOA. SOMA HAPA
Siku za hivi karibuni alipokua akifanya mahojiano na Clouds fm Radio kupitia kipindi cha XXL Fareed Kubanda a.k.a. FID Q alisema kua kutokana na Joto la Dar, atalazimika kunyoa Rasta zake bila kutaja Style gani ya nywele atanyoa,
Leo hii amekuja na hili jipya jengine kuhusu kunyoa nywele zake pamoja na style ya unyoaji.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Fid Q amesema yupo mbioni kupunguza rasta zake kwa lengo la kujiweka tofauti na jinsi ilivyo. Ameileza uptowntz.blogspot.com
Mwanamuziki huyo alisema kimsingi akishamaliza kupunguza rasta, atanyoa kabisa nywele zake kwa mtindo wa unga na alipoulizwa zaidi alisema anataka kujibadilisha ili aongeze pia mashabiki wake.
Alisema si jambo la kwanza kwa wasanii kuamua kubadili staili zao za mavazi au mitindo ya nywele na mara nyingi ushahidi unaonyesha kuwa kwa kufanya hivyo hata muziki nao soko lake linapanda.
JANET JACKSON AONEKANA HADHARANI BAADA YA MWAKA MMOJA WA NDOA
QUEEN DARLIN AKATAA ZAWADI YA GARI TOKA KWA DIAMOND.SOMA HAPA!!!
Siku ya leo msanii Queen Darleen anasherehekea siku yake ya kuzaliwa, Alifanya mahojiano na moja kati ya Blogu maarufu hapa mchini Bongo Clan na aliulizwa maswali kama haya,
ni vitu gani hua anafanya siku kama ya leo na Queen alisema ” Siku kama ya leo inapofika saa 6 (Usiku) kama mwili wangu haupo msafi basi natia udhu kisha naanza sala na kumuomba mwenyezi Mungu kwa sababu kuna kuugua na pia kuna kufakwa najaribu kumuomba mwenyezi Mungu anisaidie uhai mrefu”
Alipoulizwa kuhusu kama atafanya sherehe, Queen Darleen alisema ” Sijawahi kufanya sherehe mimi kama mimi lakini leo marafiki zangu wakina Mwasiti, Almasi, K Star Diamond kina shilole wote wameamua kunifanyia kitu hapa nyumbani kwangu kuanzia saa 2 usiku, mi sijui ni kitu gani watanifanyia. Kwa hiyo suprise lakini nimesema sitaki zawadi ya gari, nimeshampa warning kabisa Diamond”
Unaweza sikiliza mahojiano yetu na Queen Darleen kwa urefu zaidi hapa chiniii…
Chanzo BongoClan
NEW HIT:Chidi Benz-Kimbiza.
Baada ya dhiki faraja,Baada ya kua nje kwa dhamana mwana toka Ilala amekuja na mkwaju huu hapa.usikilize
Hii ndio zawadi toka kwa mwanae Nyota ndogo
Katika hali ya kurudisha upendo kwa mama tumeona vijana wengi sana wakifanya mambo makubwa kwa mama zao, ama kujitoa kwa hali na mali kwa ajili ya mama zao,
Toka kenya leo tumeona mtoto wa msanii maarufu wa mziki toka 254 Nyota ndogo akipokea zawadi toka kwa mtoto wake wa kiume,
Nyota ndogo alishangazwa na zawadi hiyo toka kwa mwanawe iangalie hii hapa.
Toka kenya leo tumeona mtoto wa msanii maarufu wa mziki toka 254 Nyota ndogo akipokea zawadi toka kwa mtoto wake wa kiume,
Nyota ndogo alishangazwa na zawadi hiyo toka kwa mwanawe iangalie hii hapa.
Hivi ndivyo staa huyu alivyo shangazwa na mtoto wake wa kiume wewe je? unaonaje picha hiyo ya kuchora inafanana na NYOTA NDOGO?
Sunday, November 2, 2014
UNATAKA KUJUA NANI KATOLEWA NJE YA JUMBA LA BBA JIBU LIPO HAPA.
Listi ya washiriki waliobaki ndani ya jumba la Big Brother Africa imezidi kushuka tena jana uskiku, muda wa saa 3 hivi kwa saa za Tanzania tumeshuhudia washiriki wengine watatu wakitolewa ndani ya Jumba hilo, nao ni Kacey Moore ambaye alikuwa anawakilisha Ghana, Luis mwakilishi wa Namibia, na Arthur mwakilishi wa Rwanda kumefanya idadi ya washiriki waliotoka mpaka sasa kufikia washiriki kumi, wanne kati yao ni wa kiume na wa kike sita. Hizi ni baadhi ya picha za matukio wakati washiriki hao wakiwa wanatolewa.
Wednesday, October 29, 2014
NEW HIT: SUGU & PROF. JAY- MAKAMANDA
Dakika zako tatu tu kisikila kazi ya waanzilishi wa Bongo music namzungumzia SUGU na Profesa Jay. hii hapa.
Tuesday, October 28, 2014
UJIO MPYA WA AVRIL
Baada ya kimya cha mda mrefu sana, Avril sasa amewataka mashabiki wake kusubir kidogo tu kusikia mzigo wake mpya utakao toka hivi karibuni.
Kupitia mtandao wake wa kijamii avril aliandika hivi...
IDRIS APEWA ADHABU BAADA YA KUVUNJA SHERIA YA SHINDANO LA BBA
Mshiriki pekee wa Tanzania aliebaki katika jumba la BIG BROTHER AFRICA HOTSHOTS 2014.Idris, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kupewa adhabu na Big wa jumba hilo. Big aliwaita washiriki wote na kutaja kosa lililofanywa na Idris baada ya Party ya Friday night kuvunja mlango ambapo sheria ya jumbo hilo halihitaji aina yeyote ya Maintenance zifanyike kwa makosa ya washiriki wa shindano.
IDRIS WA TANZANIA
Baada ya matangazo hayo Idris alikimbia na kuianza adhabu yake mara moja, watanzania tumpigie kura kijana huyu aendelee kubaki ndani ya nyumba.
IDRIS WA TANZANIA
Baada ya matangazo hayo Idris alikimbia na kuianza adhabu yake mara moja, watanzania tumpigie kura kijana huyu aendelee kubaki ndani ya nyumba.
C9 KANJENJE AFUNGUKA FAIDA ANAZOPATA KUPITIA STUDIO ZAKE.
Alianza kama mwanafunzo wa kuandaa music katika Studio za makonella Records zilizopo visiwani zanzibar baadae akawa mtayarishaji wa music katika Studio hizo, kabla hajawa producer mkuu wa Kili Records jijini Dar, Aanaitwa C9 KANJENJE Leo hii ni mmiliki wa Studio zake mwenyewe,Je faida gani anazipata na hatua gani amepiga C9 Huyu hapa msikilize anatiririka.
Monday, October 27, 2014
MTANZANIA WA KWANZA ATUPWA NJE YA BIG BROTHER AFRICA.
Laveda
Africa mashariki imeandamwa na hali ngumu katika shindano maarufu linaloendelea hivi sasa Big brother Africa, Tumeshuhudia washiriki wawili toka nchi jerani ya Kenya wakiaga mashindano hayo, ambao ni Sabina, pamoja na Alusa ambae jana ameyaaga mashindano hayo, Upande mwengine wa Esther toka nchi jirani ya Uganda pia ametolewa nje ya jumba hilo.
Jana usiku majira ya saa 3 hivi machungu yameingia nchini kwetu mwananadada anaeiwakilisha Tanzania Laveda, amekosa kura za kutosha toka kwa wana Africa na wana Africa Mashariki za kuweza kumbakisha ndani ya Jumba hilo.
Africa mashariki imeandamwa na hali ngumu katika shindano maarufu linaloendelea hivi sasa Big brother Africa, Tumeshuhudia washiriki wawili toka nchi jerani ya Kenya wakiaga mashindano hayo, ambao ni Sabina, pamoja na Alusa ambae jana ameyaaga mashindano hayo, Upande mwengine wa Esther toka nchi jirani ya Uganda pia ametolewa nje ya jumba hilo.
Jana usiku majira ya saa 3 hivi machungu yameingia nchini kwetu mwananadada anaeiwakilisha Tanzania Laveda, amekosa kura za kutosha toka kwa wana Africa na wana Africa Mashariki za kuweza kumbakisha ndani ya Jumba hilo.
Jana usiku Laveda akiyaaga Mashindano.
Tumekua nyuma Watanzania kwa kutoweza kupiga kura za kutosha ili kuweza kumuokoa mrembo huyo ndani ya Jumba la kifahari.
Bado tuna kila sababu ya kuweza kuendelea kufuatilizia shindano hilo kwani tuna muwakilishi wa pili ambae bado yumo humo ndani Idris ambae kwa hali yeyote ile anahitaji Suport ya watanzania na Africa pia, ili aweze kua mshindi wa Shindano hilo na kuipeperusha Bendera ya nchi hii ya Tanzania.
Idris Muwakilishi aliebaki wa Tanzania
Piga kura kwa wingi uwezavyo ili IDRIS wa Tanzania aweze kua mshindi.
Sunday, October 26, 2014
NEW HIT- OMY-SIKUJALI ( ZENJI MUSIC)
Jana nilikueleza kuhusu kipaji kipya toka Visiwani Zanzibar,Kijana anaitwa Omy.Nilikuahidi pia kukuwekea ngoma yake ni hii hapa leo Dakika zako tatu za kuisikiliza.
Artist: Omy
Song Name: Sikujali
Studio: Six Records
Producer: Side to the Lee.
Saturday, October 25, 2014
CLEAR PICTURE KUJA NA UJIO MWENGINE MPYA 24/11/2014 SOMA HAPA
Kampuni kubwa ya utengenezaji wa Film za kibongo maarufu kama Bongo Movie
(CLEAR PICTURE) Ipo tayari kabisa kutambulisha Movie nyengine mpya baada ya miezi kadhaa iliyopita kutambulisha Movie iliyofanya vizuri na inayojizolea umaarufu mkubwa hapa Bongo
SIRI YA GININGI
Hivi sasa wakali hao wanaozidi kupata umaarufu mkubwa kwa kutengeneza Film iliyokua Gumzo la Jiji la Dsm na mikoa mingi ya hapa TZ, wapo tayari kutambulisha Film nyengine mpya Kabisa iitwayo MTOTO WA RADI ambayo inatarajiwa kutoka mwezi ujao 24/11/2014,
Muandishi wetu alipata nafasi ya kuongea na Manager wa kampuni hiyo aliejulikana kwa jina la Mussa Omari nae alikua na haya yakusema.
Movie mpya (moto wa radi inatoka
24/11/2014 ) Muandishi alipotaka kujua Mastaa gani wamecheza Film hiyo jibu lilikua hivi,
yupo Niva,Dude,kemmy,m2,sabby na Angle,
Pia muandishi alikua na Shauku ya kutaka kujua kama kuna Project nyengine zinazoendelea chini ya Kampuni hiyo Maarufu hapa nchini Clear Picture?
Hapa Muandishi wa Blogu hii amepata Fursa ya kuongea na waongozaji wa Film katika kampuni hiyo ya clear picture ambao ni Mahdy a.k.a P.Junior na Othman nao walikua na haya ya kusema
Muongozaji & Camera man Mahdy. P.Junior
Muongozaji & Camera man Mahdy. P.Junior
Project nyingine ipo Mbioni kukamilika jina
bado kapuni, Ila mastaa watakao husika ni Gapo Nisha,Zubeida Ibrahim,Nassoro Ndambwe na vipaji lukuki
kutoka Zanzbar
NISHA
Waliendelea kuhabarisha kua kampuni hiyo inajali sana na kuibua vipaji vipya toka maeneo tofauti ya hapa Tanzania,
Wananchi tukae mkao wa kula kuzisubiri kazi mpya toka kampuni mashuhuri Clear Picture.
OMY NI ZAIDI YA JINA KUBWA HAPO MBELE
ANAITWA OMY
Ukizungumzia wasanii wakubwa hapa Tanzania basi utawataja wengi ambao hujui mwanzoni walianzaje changamoto walizozipitia etc, wengine walisafiri umbali umrefu kufuata Studio zilipo kwa nauli za kuunga unga,Wengine walilala njaa na wengine walitembea umbali mrefu kwa miguu ili kukamilisha ahadi ya kurekodi aliyoahidiwa na mtayarishaji.Pamoja na yote hayo jambo moja muhimu wadau tunatakiwa kuzingatia ambalo ni kuwapa Sapot vijana wenye vipaji ili kuweza kuonesha na kuendeleza vipaji vyao mwisho wa siku iwe ajira kwao.
KAZI YAKE?
Ni kijana ambae anafanya kazi ya Udereva katika moja ya makampuni ya Gari za kitalii visiwani Zanzibar,
Pengine sababu ni mimi au wewe na mwengine ndio maana Omy hadi leo amebaki katika kazi yake hiyo niliyoieleza hapo juu.
Kama mimi na wewe tungeweka masikio yetu vizuri na kusikiliza kazi za Omar/Omy kupitia kipaji chake cha sauti mashairi na ghani zenye mvuto wa haja kupitia mziki aufanyao wa kizazi kipya a.k.a Bongo Flava, basi leo hii Omy angekua ni miongoni mwa wasanii wa kubwa sana hapa nchini na kuipeperusha vizuri sana bendera ya nchi hii kimataifa,pengine zaidi ya hao ambao tumewaamini na kuwapa Sapot kubwa zaidi,
MZIKI WAKE,
Ameshawahi kufanya kazi kadhaa katika Studio mbali mbali visiwani zanzibar na pia nyimbo zake kuchezwa na baadhi ya Vyombo vya habari visiwani humo, Studio kama Six Records ambazo zimepa mkataba kijana huyu ni moja kati ya Studio kubwa hapa Visiwani Zanzibar
Nikuambie kitu mdau/Mshabiki mpenzi wa Bongo music bado hujachelewa unaweza kuwekeza kwa kujina huyu kupitia mziki ana kipaji na anajua kufanya muzic wa aina aifanyayo.
Leo niishie Kesho ntakupatia nafasi usikilize kupitia hapapa moja ya kazi zake, Huyu ni zaidi ya msanii mkubwa hapo baadae.
Friday, October 24, 2014
Thursday, October 23, 2014
Wednesday, October 22, 2014
DIAMOND & NEY WA MITEGO MIKONONI MWA POLISI
Nyuma ya Fiesta 2014 kuna mengi sana yamejitokeza pia linatajwa kua ndio tamasha pekee lililotia fora kwa matukio tangu huu mwaka uanze, moja kati ya matukio ambayo yalileta utata na bado yanautata ni,
1.Vita ya mashabiki wa Alikiba Vs Diamond
2.Vita kati ya Clouds Fm Vs Times Fm Radio
3.Vita kati ya JWTZ Vs Diamond & Ney wa Mitego.
Tumeshasoma mengi sana yaliyoandikwa na vyombo vya habari vya hapa nchini na nje ya nchi kuhusiana na kipengele no.1.na mbili, hapo juu.
Msomaji wangu leo nataka nikupatie Inshu kubwa inayoendelea hivi sasa hapa mjini Dsm, Tunakumbuka vizuri sana wale ambao tulihudhuria Show na wale ambao tuliangalia nyumbani kupitia Luninga zetu, kua Diamond na Ney wa mitego walipanda jukwaani wakiwa na sare za Jeshi la wananchi wa Tanzania,Pengine niseme Rangi ya nguo zao zimefanana na nguo za Jeshi hilo.
1.Vita ya mashabiki wa Alikiba Vs Diamond
2.Vita kati ya Clouds Fm Vs Times Fm Radio
3.Vita kati ya JWTZ Vs Diamond & Ney wa Mitego.
Tumeshasoma mengi sana yaliyoandikwa na vyombo vya habari vya hapa nchini na nje ya nchi kuhusiana na kipengele no.1.na mbili, hapo juu.
Msomaji wangu leo nataka nikupatie Inshu kubwa inayoendelea hivi sasa hapa mjini Dsm, Tunakumbuka vizuri sana wale ambao tulihudhuria Show na wale ambao tuliangalia nyumbani kupitia Luninga zetu, kua Diamond na Ney wa mitego walipanda jukwaani wakiwa na sare za Jeshi la wananchi wa Tanzania,Pengine niseme Rangi ya nguo zao zimefanana na nguo za Jeshi hilo.
Habari kubwa niliyonayo leo ni kwamba Wawili hao wametakiwa kufika katika kituo cha polisi Osabay wakiwa na nguo hizo zinazofanana na sare za JWTZ,
Wakati huo huo inasemekana kua Bab Tale yeye yupo polisi tangu siku ya pili ya tukio hilo kubwa hapa nchini naizungumzi Fiests 2014.
Akizungumza kwa ufasaha kabisa Ney wa mitego amesema kua ni kweli tukio hilo ni kubwa na wametakiwa kurejesha nguo hizo kituo cha polisi Ostabay Dsm,Hakuishia hapo Ney amesema kua amepata simu kutoka kwa Diamond pia nae akitakiwa kutimiza agizo kama hilo la JWTZ,
Ney ameieleza Uptowntz.blogspot.com kua kuna watu wanayakuza haya mambo na kufanya kua na Sura mpya yeye anadhani ni ya kisheria na ya kuisha na huenda pia wakawa na makosa ya kesheria bila wenyewe kujijua. Ila yataisha tu amesema Ney.
Sunday, October 19, 2014
Saturday, October 18, 2014
MWANA F.A ft ALIKIBA - KIBOKO YANGU
Miezi mitano sasa imepita Tangu Mfalme yake F.A, ft G.Nako isikike hewani, Leo atahusika Jukwaa moja na T.I toka Marekani,
FA. Amesema kua kabla hajaiachia Mfalme Kiboko yangu ilikua tayari imeshakamilika na ilikua itoke kabla ya Mfalme, ila mipango iligharika na Mfalme ikaanza kutoka.
Binam amesisitiza na kusema kua yeye anaona sasa ni muda muafaka wa Kiboko yangu kusikika, Tayari Binam ametoa tarehe ya mzigo huo kusikika ambayo ni October 22,2014.
Get ready.
Binam amesisitiza na kusema kua yeye anaona sasa ni muda muafaka wa Kiboko yangu kusikika, Tayari Binam ametoa tarehe ya mzigo huo kusikika ambayo ni October 22,2014.
Get ready.
Friday, October 17, 2014
HUU NDIO UDHAIFU MKUBWA WA DIAMOND.
Kila mtu anaudhaifu wake aidha kimaumbile, Kitabia,kimaadili, ama hata kiutendaji wa kazi,
Leo hii msomaji wa uptowntz.blogspot.com ningependa ufahamu udhaifu wa Msanii wa Bongo Flavar ambae anafanya vizuri kupitia kazi zake za Mziki anaoufanya. Najua wengi mtadhani kua udhaifu wake ni Wanawake!! ama mabint wazuri ndio ni kweli pia huo ni udhaifu wa Diamond ila mimi leo sitaki ni zungumzie huo. Leo nataka kuzungumzia udhaifu mwengine alionao Diamond
1.HANA BUSARA
(a)Busara humfanya mtu kuchunga mdomo wake ili asiongee jambo ambalo halina faida na halitokua busara kwa mwengine kulisikia ama kumuumiza, pia msemaji lisije kumrudia yeye mwenyewe.
Hivi juzi nilifuatilia Mahojiano ambayo alifanya na moja kati ya kituo kikubwa Cha habari hapa nchini kwetu Tanzania, kwa mtazamo wa kawaida yeye alijiona kua anajibu maswali kawaida tu lakini kwa sisi wachambuzi wa mambo maneno ambayo Diamond alikua akiyaongea ama kujibu hayakua na busara wala hamjengi na yatamrudia mwenyewe,
Upo tayari kufanya kazi na Ali Kiba.(Hili moja kati ya maswali aliyo ulizwa.)
(b)Diamond alijibu Nipo tayari kufanya kazi na msanii yeyote yule, ila tu inategemea na mziki gani ama Project gani.
Hapo jibu lilikua zuri na labusara sana,
Hapa sasa ndipo alipo alipo chafua hali ya hewa na mashabiki wake wakaanza kumdharau.
(c)Alisema yeye hana tatizo anaweza kumsadia msanii yeyote yule ambae anataka msaada wake pindi akiombwa huo msaada, ameshasaidia wasanii wengi sana wa Nigeria na hivi karibuni mtasikia macollabo mengi na wasanii wa Nigeria kama vile,Don Jaz, Dr Sid, KCEE, Mafikizolo, nakadhalika, nimesaidia watu wengi sana wa nje ya nchi itakua wapa nyumbani yupo tayari kusaidia wa hapa nyumbani.endele!!!!!!!!
2.DHARAU
(d)Diamond yeye kwa Mtazamo wake akifanya Ngoma na Alikiba eti kwamba amemsaidia Alikiba kupeleka mziki wake nje ya nchi katoa na Sababu kua eti yeye tayari mziki wake umeshavuka mipaka, Hapa mdogo wangu Diamond amekosea tena sana, Namkumbusa tu kua Mziki unapanda na kushuka leo yupo juu akifanya ngoma na wasanii wa nchi nyingine ama wa hapa ndani anasema anawasaidia. kesho na kesho kutwa yeye pia anahitaji kufanya ngoma na wasanii wengine haijalishi kua wa hapa ama wa nje ya nchi itakuaje? akishuka kimuziki itakuaje? coz mimi naamini peke yake hawezi kufanya mziki wake lazima apate ushirikiano toka kwa wasanii wengine,
3.SIFA ZA KIJINGA
(e)Kuna wasanii wa ngapi ambao walikua na majina makubwa Duniani kwa mziki wao kufika kila kona ya Dunia hii na hawakua na majigambo na sifa za kijinga kama alizonazo ndugu yetu huyu ambae hata Africa yenyewe tu kuna baadhi ya nchi hawamjui wala hawajui nyimbo zake, Lugha ya mawasiliano kimataifa ndo kwanza anajifuza,
ANGALIZO.
(f)Namuombea mungu sana mziki wake ufike mbali zaid ili awe Icon wa nchi yetu na pia atuwakilishe na kuijengea Sifa nchi yetu, Lakini kwa Mambo yalivyo akiendelea na haya bac atakua hana mda mrefu wa kuishi katika anga za mziki.
Mziki ni mashabiki na mashabiki ni mziki na hao mashabiki hubadilika kulimngana na wakati na upepo unapovuma leo huu upepo umevumia kwako kesho je?
Hii ni moja ya Comments ambazo zina mtazamo tofauti kupitia FB Toka kwa Shabiki wake.
Kaka Wille · BSS & TXN Engineer at Vodacom Tanzania
Leo hii msomaji wa uptowntz.blogspot.com ningependa ufahamu udhaifu wa Msanii wa Bongo Flavar ambae anafanya vizuri kupitia kazi zake za Mziki anaoufanya. Najua wengi mtadhani kua udhaifu wake ni Wanawake!! ama mabint wazuri ndio ni kweli pia huo ni udhaifu wa Diamond ila mimi leo sitaki ni zungumzie huo. Leo nataka kuzungumzia udhaifu mwengine alionao Diamond
1.HANA BUSARA
(a)Busara humfanya mtu kuchunga mdomo wake ili asiongee jambo ambalo halina faida na halitokua busara kwa mwengine kulisikia ama kumuumiza, pia msemaji lisije kumrudia yeye mwenyewe.
Hivi juzi nilifuatilia Mahojiano ambayo alifanya na moja kati ya kituo kikubwa Cha habari hapa nchini kwetu Tanzania, kwa mtazamo wa kawaida yeye alijiona kua anajibu maswali kawaida tu lakini kwa sisi wachambuzi wa mambo maneno ambayo Diamond alikua akiyaongea ama kujibu hayakua na busara wala hamjengi na yatamrudia mwenyewe,
Upo tayari kufanya kazi na Ali Kiba.(Hili moja kati ya maswali aliyo ulizwa.)
(b)Diamond alijibu Nipo tayari kufanya kazi na msanii yeyote yule, ila tu inategemea na mziki gani ama Project gani.
Hapo jibu lilikua zuri na labusara sana,
Hapa sasa ndipo alipo alipo chafua hali ya hewa na mashabiki wake wakaanza kumdharau.
(c)Alisema yeye hana tatizo anaweza kumsadia msanii yeyote yule ambae anataka msaada wake pindi akiombwa huo msaada, ameshasaidia wasanii wengi sana wa Nigeria na hivi karibuni mtasikia macollabo mengi na wasanii wa Nigeria kama vile,Don Jaz, Dr Sid, KCEE, Mafikizolo, nakadhalika, nimesaidia watu wengi sana wa nje ya nchi itakua wapa nyumbani yupo tayari kusaidia wa hapa nyumbani.endele!!!!!!!!
2.DHARAU
(d)Diamond yeye kwa Mtazamo wake akifanya Ngoma na Alikiba eti kwamba amemsaidia Alikiba kupeleka mziki wake nje ya nchi katoa na Sababu kua eti yeye tayari mziki wake umeshavuka mipaka, Hapa mdogo wangu Diamond amekosea tena sana, Namkumbusa tu kua Mziki unapanda na kushuka leo yupo juu akifanya ngoma na wasanii wa nchi nyingine ama wa hapa ndani anasema anawasaidia. kesho na kesho kutwa yeye pia anahitaji kufanya ngoma na wasanii wengine haijalishi kua wa hapa ama wa nje ya nchi itakuaje? akishuka kimuziki itakuaje? coz mimi naamini peke yake hawezi kufanya mziki wake lazima apate ushirikiano toka kwa wasanii wengine,
3.SIFA ZA KIJINGA
(e)Kuna wasanii wa ngapi ambao walikua na majina makubwa Duniani kwa mziki wao kufika kila kona ya Dunia hii na hawakua na majigambo na sifa za kijinga kama alizonazo ndugu yetu huyu ambae hata Africa yenyewe tu kuna baadhi ya nchi hawamjui wala hawajui nyimbo zake, Lugha ya mawasiliano kimataifa ndo kwanza anajifuza,
ANGALIZO.
(f)Namuombea mungu sana mziki wake ufike mbali zaid ili awe Icon wa nchi yetu na pia atuwakilishe na kuijengea Sifa nchi yetu, Lakini kwa Mambo yalivyo akiendelea na haya bac atakua hana mda mrefu wa kuishi katika anga za mziki.
Mziki ni mashabiki na mashabiki ni mziki na hao mashabiki hubadilika kulimngana na wakati na upepo unapovuma leo huu upepo umevumia kwako kesho je?
Hii ni moja ya Comments ambazo zina mtazamo tofauti kupitia FB Toka kwa Shabiki wake.
Kaka Wille · BSS & TXN Engineer at Vodacom Tanzania
Uamzi
wako sio mbaya @Diamond tatizo lako ndugu Una sifa acha kauli kwamba
unasaidia ww sema 2 naweza fanya nae collabo co uanze sema cjui nataka
nimsaidie hyo haitaniwi sawa So change control ur words wen u talk..!!Mm
ningependa useme hv...Nipo tayari kufanya collabo na kushirikia bega
kwa bega na Ali Kiba bassi ingekuwa imetulia sana bila shaka utajifunza
kupitia comment hii...!!mm napenda sana mkielewana japo Cox wote mnajua
@Di Kiba #@i like u all..!!