Wednesday, November 5, 2014
Home »
» FUNGA MWAKA & CAMP COMPETITION KUFANYIKA ZANZIBAR MWEZI HUU.
FUNGA MWAKA & CAMP COMPETITION KUFANYIKA ZANZIBAR MWEZI HUU.
Katika kufunga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015,Mashindano ya Kucheza mziki a.k.a Dance yanatarajiwa kufanyika mwezi huu visiwani Zanzibar tarehe 21/11/2014, katika ukumbi wa Magereza,
Mapema leo asubuhi nilikua nachapa story kupitia mtandao wa kijamii Whatsupp na Queen Shinella toka visiwani Zanzibar alinihabarisha kuhusiana na Mashindano hayo pia yeye akiwa mmoja kati ya washiriki wa Shindano hilo.
Queen Shinella kushoto akiwa na Rafiki yake.
Mambo yalienda hivi asubuhi ya Leo
0 comments:
Post a Comment