Wednesday, November 5, 2014

BABA NA MWANA WAZALIWA PAMOJA

Hii ni Historia kubwa yaandikwa leo toka kwa Chief Editor wa Steps Entertainment, Musa Omar a.k.a Samran ,Amejaaliwa kupata mtoto wa kike leo ikiwa ni siku yake ya kusherehekia Birthday yake,
Baba na mwana tarehe moja ya kuzaliwa,
Hongera sana Samrani,Blogu hii inachukua nafac ya kukupongeza kwa kupata mtoto wa kike


0 comments:

Post a Comment