Uamzi wako sio mbaya @Diamond tatizo lako ndugu Una sifa acha kauli kwamba unasaidia ww sema 2 naweza fanya nae collabo co uanze sema cjui nataka nimsaidie hyo haitaniwi sawa So change control ur words wen u talk..!!Mm ningependa useme hv...Nipo tayari kufanya collabo na kushirikia bega kwa bega na Ali Kiba bassi ingekuwa imetulia sana bila shaka utajifunza kupitia comment hii...!!mm napenda sana mkielewana japo Cox wote mnajua @Di Kiba #@i like u all..!!