Thursday, September 13, 2012

Quick Rocka Afungua Studio yake


Msanii wa bongo fleva anaetamba na ngoma ya katika kwa Sasa Abbot Charles a.k.a Quick Rocka.amefunguka kua anampango wa kufungua Studio yke maeneo ya Sinza Dsm na amesema kua Studio hiyo itaitwa Big Step chini ya Lebo ya 255.

0 comments:

Post a Comment