
Msanii wa bongo fleva anaetamba na ngoma ya katika kwa Sasa Abbot Charles a.k.a Quick Rocka.amefunguka kua anampango wa kufungua Studio yke maeneo ya Sinza Dsm na amesema kua Studio hiyo itaitwa Big Step chini ya Lebo ya 255.
KWA HABARI ZA UHAKIKA NA BURUDANI HAPA NDIO SAHIHI
Tanzania |
Tangaza nasi kupitia anuani zifuatazo. Tell: +255(0)774552200 +255(0)713674322 +255(0)685904499 Email: jabir1621@yahoo.com saidjabir2001@gmail.com
0 comments:
Post a Comment