Wednesday, September 26, 2012

Pah one washika na Silaha za moto


PAH ONE wamejikuta wakiingia mikononi mwa police baada ya kukutwa na silaha. Ukiacha mziki wasanii hao wamejiingiza ktk fani ya movie wakiwa njiani kushoot movie yao ya action maeneo ya Sinza police waliwaotea na kuwakamata na silaha na kuwapeleka kituoni baadae iligundulika kua Silaha jizo kumbe ni bandia Toiz ambazo.Wapo nje kwa dhamana.

0 comments:

Post a Comment