
Avril toka 254 Kenya alishindwa kuingia kwenye Style ya AT wa Miduara hivyo basi Kolabo kushindikana.
AT alisafiri had Nairobi ktk Studio za Ogopa DJ na kukutana na Avril alimuandikia mashairi na kumpa

melody hata hivyo zilimshinda kuimba Avril,hata hvyo ngoma hiyo alikua afanye na Juliana wa Uganda.Baada ya kumkosa ndipo alipoamua kumpa Avril Shavu.alilazimika kurudi Tanzania Bila mafanikio AT.
0 comments:
Post a Comment