This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Wednesday, September 26, 2012

AMINI - KIMBELEMBELE

Pah one washika na Silaha za moto


PAH ONE wamejikuta wakiingia mikononi mwa police baada ya kukutwa na silaha. Ukiacha mziki wasanii hao wamejiingiza ktk fani ya movie wakiwa njiani kushoot movie yao ya action maeneo ya Sinza police waliwaotea na kuwakamata na silaha na kuwapeleka kituoni baadae iligundulika kua Silaha jizo kumbe ni bandia Toiz ambazo.Wapo nje kwa dhamana.

BERRY BLACK - MNAFIKI.

Tuesday, September 25, 2012

Souti soul wamecopy kweli Video ya Kanye?

kweli Sauti Soul wamecopy na kubamiza chech hiz hapa

Sean Kingston Apewa zawadi ya Gari na Dogo.



Mwimbaji Sean Kingstone alipoonekana kwenye Bata huko Marekani alijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kufahamu kuhusu gari la kifahari aliloonekana nalo.

Kingstone ambae ni rafiki mkubwa wa mwimbaji Justine Bieber alisema hilo gari amepewa kama zawadi na Justine Bieber ambae alichoka kulitumia hilo gari ambalo ameshawahi kukamatwa nalo mara kadhaa kwa makosa mbalimbali ikiwemo mwendo kasi.

Kolabo kati ya Avril na AT wa Miduara Limeshindikana


Avril toka 254 Kenya alishindwa kuingia kwenye Style ya AT wa Miduara hivyo basi Kolabo kushindikana.
AT alisafiri had Nairobi ktk Studio za Ogopa DJ na kukutana na Avril alimuandikia mashairi na kumpa

melody hata hivyo zilimshinda kuimba Avril,hata hvyo ngoma hiyo alikua afanye na Juliana wa Uganda.Baada ya kumkosa ndipo alipoamua kumpa Avril Shavu.alilazimika kurudi Tanzania Bila mafanikio AT.

J.Martini kutoa New hit Song Sep 29


J Martins anatarajiwa kuachia single yake mpya siku ya  (29 September).ambayo ni birthday.

Monday, September 24, 2012

Rihanna Interview With Elvis Duran iHeartRadio [2012]


Siku chache baada ya kutokea kwa tetesi kuwa Rihana yuko mbioni kuachia album yake ya saba, mwenyewe ameamua kuthibitisha katika interview alioifanya na Elvis Duran wa iHeart Radio kuwa ataachia single ya kwanza ya album hiyo inayoitwa Diamonds siku ya jumatano ya tarehe 26 september yaani wiki ijayo

Album ya Pitbull November 18th


Pitbull anatarajiwa kuachia album lake  November 18th, mwaka huu hii ni kwa mujibu wa Billboard

ISON MWANAHARAKATI - HELOW BABA (Officiall Video)

Tuesday, September 18, 2012

WIZ,UMBER HADHARANI NAMNA HII


Mara baada ya kutangaza  hadharani kuwa wanatarajia kupata mtoto hatimae mwanamitindo Umber Rose na Wiz Khalifa,wameonekana hadharani katika sehemu za burudani huku Wiz akioneka akiwa mwenye furaha kubwa tofauti na zamani.

Monday, September 17, 2012

DJ.MAARUFU ZANZIBAR AMEKUA MUWAKILISHI KTK BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM


Mh.Husein Ibrahim makungu akiapishwa Rasmi kua Muwakilishi wa wananchi wa Jimbo la Bububu na Mh.Ghalib Bilal makamu wa Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kufuatia ushindi alioupata katika uchaguzi mdogo uliofanyika.
    Nikukumbushe kua mh.Husein a.k.a Dj.Bhaa ni mmoja kati ya madjz maarufu sana Znzbar pia anamiliki Night Club 2 pamoja na kituo kimoja cha Radio kinachojulikana kwa jina la Bhaa fm kilichopo Zanzibar.huo ni kwa upande wa Entertainment.
Wadau wa mbalimbali walimpongeza kupitia mtandao wa kijamii FB.mmoja kati ya hao ni Mkurugenzi wa Radio maarufu hapa Zanzibar Bomba fm.Namzungumzia GURU RAMADHAN.a.k.a Dady G.
Check na hii hapa.



21 hours ago 

Hongera Dj Bhaa Kwa Kuwa Mheshimiwa Mwakilishi Bububu kupitia CCM.....Allah Bless U

Saturday, September 15, 2012

DJ FLASH WA POMBA FM ACHUKUA JIKO.

 
                                                 FLASH WA PEKEE   
Mtangazaji maarufu pia Dj wa kituo cha radio maarufu zanziba Bomba fm SADICK ALLY A.K.A FLASH WA PEKEE amechukua jiko Rasmi na hivi ndivyo mambo yalivyo kua.

 
                    mkurugenzi wa Bomba fm GURU RAMADHANI kulia





                              Baadhi ya Wasanii wa Znzbar waliohudhuria.

Friday, September 14, 2012

Yvonne Mwale | Familia Yangu [Official Video]

VIDEO.Ciara - Sorry

Thursday, September 13, 2012

New Hit:Hammer q ft Catie - muungano




KIROHO SAFI YA SULTAN KING HII HAPA


      
              mkurugenzi wa Bomba fm akiwa na Bibi na Bw.Harusi.

Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Zanzibar Alipotembelea Bomba fm Radio

Waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo Zanzibar Mr.Said Ally Mbarouk alipotembelea Bomba fm Radio Zanzibar na kuongea na wafanya kazi wa Radio
hiyo.
Baadhi ya wafanya kazi wa Bomba fm wakitokelezea na waziri wa Habari Zanzibar.
Mkurugenzi wa Bomba fm akitokelezea na waziri wa Habari.

VIFAA VYA STUDIO YA BARNABA TAYARI VIPO BONGO


Barnaba ameiambia uptowntz kua tayari vifaa vyake vipya kwa ajili ya studio yake mpya vimeshawasili na ametaja ni moja kat ya vitu vilivyo mgharimu pesa nyingi sana hivyo vifaa.Lakini pia amefunguka juu ua hili hapa.
Msanii nyota anayetingisha kwenye anga za muziki wa kizazi kipya nchini Barnabas Elias ‘Barnaba’ yuko mbioni kuzindua staili yake mpya ya uimbaji inayoambatana na muonekano mpya wa mavazi pamoja na mtindo wa nywele ambayo atatumia kwa ajili ya kutoa burudani kwa mashabiki wake

UHURU KENYATTA AGEUKIA MEDIA


Uhuru kinyata sasa aigeukia tasnia ya media baada ya kumiliki vituo vitatu vya Radio sasa inasemekana kua yupo njiani kumiliki kituo cha nne.Uhuru Kenyatta anamiliki Kameme FM, Meru FM and Mbaitu FM, zote zipo chini ya MediaMax. sasa  anatajwa kua anakaribia kuinunua Milele fm.

Quick Rocka Afungua Studio yake


Msanii wa bongo fleva anaetamba na ngoma ya katika kwa Sasa Abbot Charles a.k.a Quick Rocka.amefunguka kua anampango wa kufungua Studio yke maeneo ya Sinza Dsm na amesema kua Studio hiyo itaitwa Big Step chini ya Lebo ya 255.

Tuesday, September 11, 2012

NEW VIDEO

Monday, September 10, 2012

SENE TA - JEMBE (Official Video) HD

New Hit:Jobfire ft Hammer Q - Tuma



Mwasiti Ala Sahani moja na AKON


Mwasiti apata Shavu la kufanya ngoma mbili na Producer aliyewahi kufanya ngoma za Akon anaejulikana kwa jina la HAKIM ABDULSAMAD.ambae ametengeneza Mama Africa,B wth u,Clup Again.lakini pia mkali huyo ameshafanya kazi na mwanamuziki anaeshikiria nafac ya kwanza kwa utajir baran Africa,Youssundou  wa Senegal.

New Hit P.Unit ft Collo- You Guy

Thursday, September 6, 2012

BYE BYE FUNDI SAMWELI


Producer na muimbaji wa Studio za Usanii Production Fundi Samweli anatarajiwa kuondoka nchini mwezi ujao.Habari nilizozipata ni kwamba Producer huyo ataondoka na mke wake anaejulikana kwa jina la Sarah ambae amefanya vzur ktk ngoma ya Akili.
Taarifa nyingine zinaeleza kua Fundi Samwel hatorudi Tena Tanzania na Studio hizo kwa wakati huo zitakua chini ya Producer ZIDADY.

                           Sarah  & Fundi Samweli                            

RICO SINGLE-MADEMU WAZURI OFFICIAL VIDEO



Mwanamuziki mwenye vituko vingi Lady Gaga amefananishwa na mnyama baada ya kuvaa mavazi yaliyofanana na mnyama. Gaga alivaa hivyo wakati alipokwenda katika Hoteli ya Skt.Petri ambapo alikwenda kwa ajili ya kupata burudani

Gaga wakati anatoka kwenye Hoteli hiyo jijini Copenhagen , Denimaki alishangaa kukuta mashabiki wengi wanamsubili njee kumuona , wengine walifananisha mavazi hayo aliyovaa na mnyama jambo ambalo lilimuongezea umaarufu nchini humo.

Baada ya Tukio hilo Diva huyo ameibuka na hili Tatoo yake mpya ambayo ameitangaza siku za hivi karibuni ikiwa na alama ya Nanga kwa watu wapwani wanajua inamaanisha nn?.

Tuesday, September 4, 2012

OCTOPIZZO IVO IVO IVO (OFFICIAL VIDEO) HD

Monday, September 3, 2012

Smail wa kichefu chefu aanzisho Reality TV Show



Mkali toka visiwa vya marashi ya karafuu anaetamba na ngoma yake ya Nichekeche zamani Kichefu chefu SMAIL najipanga kufanya TV show niligonga nae Sound mkali huyo wa Style ya vanilla amenifahamisha kua kati ya kesho ama kesho kutwa wataanza kushut baadhi ya vipande vya Reality Show hiyo ambayo itarushwa na moja kati ya vituo vya Runinga hapa nchi.
Nilijaribu kutaka kujua ni kituo kipi cha Runinga kitaonesha show hiyo?kwa mujibu wa smail ameniambia kua muda ukifika utasema na mtaona.
kila la kheri kijana.

Jinsi ya kuwapigia kura AY na Cpwaa kwenye tuzo za Channel O




AY na Cpwaa wametajwa kuwania tuzo kwenye Channel Music Video Awards 2012. Kilichobaki ni watanzania kuwapigia kura kwa wingi ili tuzo zije nyumbani.

Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya.

AY MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR

AY ft Romeo & Lamyia – Speak With Your Body andika 14J kwenye simu yako na tuma ujumbe kwenda +27 83 920 8406 (makato ni ya meseji ya kawaida)

MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO

AY ft Sauti Sol – I Don’t Want To Be Alone andika 13C kwenda +27 83 920 8406

MOST GIFTED MALE VIDEO

AY ft. Romeo & Lamyia – Speak With Your Body andika 1E kwenda namba hiyo juu

MOST GIFTED DANCE VIDEO 

Cpwaa – Hmmm andika 5F kwenda namba hiyo hiyo.

Unaweza kupiga kura kwenye website ya Channel O

Linex ft Keko

Linex kufanya colable na Keko wa i wanna make u dance,mkali huyo toka bongo ameamua kuvuka boda na kumfuata Keko tusubiri colable hilo.