This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Saturday, December 22, 2012

SEBASTIAN MUSIC KUSAKA VIPAJI 2013


katika kuendeleza harakati za mziki wa kizazi kipya Zanzibar studio mpya imefunguliwa maeneo ya mpendae

Kwa mujibu wa msemaji wa Studio hizo ameuambia mtandao wa Uptowntz kua studio hizo zimepewa jina la SEBASTIAN MUSIC,Amemtaja Producer atakaehusika kwa jina JOHN TM.

kumbwa zaidi amesema kua mwaka 2013 watafanya Audition ya kutafuta vijana watatu watakao pata Lebo na studio hizo.
Form tayari zimeshaanza kutolewa kwa ajili ya zoezi hilo.

Hii ni habari njema sana kwa wakazi wa Zanzibar wenye vipaji.

Dec 28 Vanesa mdee anatarajia kuachia Single yake



Baada ya kusikika ktk Single mbili ya AY na Omy Dimpoz.
Vanesa mdee Dec 28  anatarajia kuachia Single yake.

PSY NI NOMA SANA


Video ya Gangnam Style ya Mkali PSY anaongoza kwa kutazamwa na watu Billion 1 kupitia you Tube.

SNURA MUSHI"AFURAHI SANA KUWA NA MAKALIO YENYE AFYA".....



MSANII anayefanya vizuri kwenye filamu na muziki Snura Mushi ‘Snura’, amekili wazi kuwa makalio yake yanaongezeka siku baada ya siku na hii inatokana na mavazi anayovaa, huku nguo nyingine zikimpa wakati mgumu hata anapotembea kutokana na kumbana sana.

Akiongea na mwandishi wetu ,msanii huyo alidai kuwa amekuwa akijishangaa kutokana na makalio yake kubandilka siku baada ya siku na kuongezeka kwa kiasi kikubwa, huku baadhi ya nguo alizokuwa anavaa baadhi zinambana na hawezi kuzitumia tena.

Alisema kuwa inawezekana kukua kwa  makalio yake kunatokana na kulizika kwani sasa hana mawazo kama aliyokuwa nayo miaka kadhaa nyuma......

Aliongeza kuwa hajawahi kutumia dawa za aina yoyote za kukuza makalio na kuhusu makalio yake kuongeza anaamini ni umbo lake hivyo anahisi baadhi ya watu wenye mawazo mafupi wataanza kuhisi anatumia dawa hizo hatari na hataki watu wamfikilie vibaya, wala kuhisi anatumia.

“Utashangaa kuona picha nyingi nazopiga sasa zinaonesha makalio yangu yamekuwa sana nashindwa kuelewa ni kwa nini ila naamini maisha yangu ya sasa hayana mawazo kama ya miaka kadhaa iliyopita


Wednesday, December 12, 2012

NICHEKECHE YA SMAIL KICHUPANI VERY SOON



Baada ya kufanya vizuri sana na mkwaju wa kibaba KICHEFCHEF ,msanii wa Bongo Flaver anetokea visiwani Zanzibar,ambae kwa sasa anatamba na mkwaju wa nichekeche hapa namzungumzia SMAIL,ambae pia atakuwepo katika Uzinduzi wa Album ya kiroho safi ya Sultan King siku ya Tarehe 22 Jimkana Zanzibar
Tayari kijana huyo ameshakamilisha kila ki2 kwa ajili ya kukamilisha Upigaji wa Video yake mpya ya NICHEKECHE.
Mkwaju ndo huo hapo usikilize kwanza huku tukisubiri kichupa.

Chanzo chetu cha habari kimegundua kua Tayari kampuni moja toka Dar es Salaam imeshatua hapa visiwani Zanzibar tayari kwa Shughuli hiyo.jina la kampuni tunalo tumelihifadhi.

Uchunguzi wa Chanzo chetu cha habari umegundua pia Mwanamitindo na mmbunifu wa nguo maarufu hapa Zanzibar pia ametumika katika kufanya yake katika video hiyo,Hapa namzungumzia Mr.Wise.

                   Mr.Wise.(wise Fasion)
Habari ambayo pia nimeipata ni kwamba Warembo watakaotumika VIDEO MODALS wametoka Dar es Salaam wakifanya kolabo na warembo wa Zenji,

Kila la kheri kijana tunatarajia kuona Video inayoendana na maandalizi Bab kubwa ambayo umeyafanya,


NEW HIT:SUMA LEE - HAWA


NO NAME - HANDS UP


PSY AWAOMBA RADHI WAMAREKANI

Mwanamuziki toka Korea anayetamba na track yake ya Gangnam style ambayo pia ndiyo video ambayo iliangaliwa na watu wengi zaidi kwenye youtube mwaka huu, ameomba radhi kwa rap yake aliyofanya ikiwa inawatukana wamerekani mwaka 2004.

Wakati anaendelea kupata heshima kubwa sana katika ulimwengu kwa ngoma yake, media za Marekani ziliiachia hewani rap yake hiyo aliyoifanya mwaka 2004, na muda mfupi baada ya habari hiyo kuzidi kumake headline PSY alijitokeza na kuomba radhi mapema kwa wote ambao aliwakosea kupitia rap hiyo. Alisisitiza, “I will forever be sorry for rapping the provocative anti-American lyrics at his concert eight years ago.”

Aliendelea kufunguka, “kama navyojivunia kuwa Mkorea ambae nilisomea Marekani na niliishi huko katika sehemu muhimu ya maisha yangu, naelewa kujitoa kwa watumishi wa Marekani na wanawake kumefanya kulinda uhuru na democrasia katika taifa na duniani.”

Varangati hili liliibuka baada ya media za marekani kurudisha nyuma kumbukumbu za watu hadi mwaka 2004 ambapo Marekani ilipigana vita na Iraq, na wakati huo PSY alikuwa bado hajafanikiwa sana kimuziki lakini alipopanda jukwaani alirap, “Kill those f***ing Yankees who have been torturing Iraqi captives, Kill those f***ing Younkees who ordered them to torture/Kill their daughters, mothers, daughters-in-law and fathers/Kill them all slowly and painfully.”

PSY alijitetea akasema kuwa aliandika mashairi hayo akiwa katika mtafuruku mkubwa wakati wasichana wawili wa shule wa Korea na ilikuwa ni wakati ule.

“Wimbo huo niliimba miaka nane iliyopita ulikuwa ni sehemu ya hisia zangu kali kwa vita ya Iraq na mauaji ya wasichana wawili wa shule raia wa Korea na ilikuwa ni ujumuisho wa upingaji vita kwa wakati ule.”

Hata hivyo mzee wa Gangnam Style anatarajia kupiga show kubwa huko Washington katika tamasha la Christmas litakalofanyika December 21 na kuhudhuriwa na rais Barack Obama na familia yake.

Muwakilishi wa White House amethibitisha kuwa Obama na familia yake watahudhuria na wanatarajia kumuona PSY wa Gangnam Style akifanya vitu vyake jukwaani.

Beyonce ampa Ne-Yo kazi ya kumuandikia nyimbo



Beyonce Knowles anazidi kuonesha utofauti katika game kwa kuhakikisha anapata kitu anachoweza kukiita kimetoka kwa “best of the best” kwa mwaka ujao ambapo amehakikisha anawapa kazi watu wenye vipaji maalum ambao wanaweza kuifanya album yake kuwa the best album from the Diva herself.
Beyonce ameamua kumshirikisha mwimbaji na mwandishi wa muziki Ne-Yo katika kuiandaa album yake inayotarajiwa kuachiwa rasmi mwaka kesho, Ne-Yo ana kazi ya kuandika wimbo utakaoimbwa na Beyonce kama alivyofanya mwaka 2006 alipoandika ‘Irreplaceable’.

Ingawa Ne-Yo anamzigo mkubwa wa project yake bado amefurahia sana kushirikishwa kwenye project ya Beyonce Knowles. Ne-Yo alionesha furaha yake wakati anaongea na MTV na akasema watu wategemee kitu kikubwa kama ‘Irreplaceable’ na kwamba anataka kuwapa fans kitu walichokuwa wanakisubiri kwa miaka sita. “Who knows? Labda tutapata Irreplaceable nyingine kwenye chat. Huwezi jua.”
Beyonce anatarajia kuachia album yake ya tano mapema mwakani na atawashirikisha wasanii wakongwe na wakali kama hubby wake Jay-Z, Miguel, The Dream, na Kanye West. Tarehe maalum ya kuachiwa album hiyo bado haijawekwa wazi lakini wimbo wa kwanza unatarajiwa kuachiwa kabla ya February.
Ne-Yo ataungana na The Dream katika kumsaidia Beyonce kuandaa album yake hiyo.

MIKE TYSON NI MWANAMKE KWA SASA,HII NI KWA MUJIBU WA MAGAZETI YA MAREKANI.



Mike Tyson now female? in Sport
America — Former undisputed heavyweight boxing champion of the world Mike Tyson is said to be “feeling fine” after undergoing successful gender reassignment surgery at a clinic near Beverley Hills. 

Report b
y NewsBiscuit

Once known as “The Baddest Man on the Planet”, the boxer said having his first menstrual cycle “would be a dream come true”, and that from now on he would be known as Michelle.

“Some people might think it strange that I’m now a woman,” said Tyson, who underwent complete facial feminisation, orbital bone contouring and nasal surgery in an operation lasting over 16 hours.




‘But even at the height of my career, when pound for pound I was regarded as the best fighter in the world, I never lost touch with my feminine side and knew that one day I would grow breasts and have a vagina.’

Iron Mike was given the all-clear for gender reassignment surgery following a successful course in hormone replacement therapy which, in his autobiography, the boxer blamed for his 1996 defeat at the hands of Evander Holyfield.

Although at the time Tyson insisted he was fit enough to carry on with the fight, referee Mitch Halpern stopped the bout in the 11th round saying Tyson looked flushed, was sweating profusely and appeared to be lactating heavily from his left breast.

Tyson, said he hoped being female would finally convince the American people that his “bad-boy” days were over and he had turned over a new leaf.

Tuesday, December 11, 2012

Rihana Apost matusi kwenye Twitter Baada ya Chriss Brown kula Bata na Karruache Tran



Inawezekana kabisa kuwa Rihanna na Chris Brown walikuwa wamekaa kwenye mstari mzuri wa mapenzi kwa kipindi hiki, lakini weekend hii imevuruga mpangilio wa mstari huo na kuwarudisha nyuma kwenye mvurugano.

Ripoti zinasema Rihanna amechukizwa sana na kitendo cha Breezy kuspend muda wake siku ya ijumaa na ex-girlfriend wake mwanamitindo Karruache Tran nchini Ufaransa weekend wakati yeye akiwa mapumzikoni peke yake

RAY C AMEPONA NA ANAMSHUKURU SANA RAIS KIKWETE KWA MSAADA WA MATIBABU ALIOMPA

Rehema Chalamila a.k.a Ray C amemshukuru raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kwa msaada wa matibabu yaliyomsaidia kwa kiasi kikubwa kupona maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Mwana bongo fleva huyo aliyevuma na jina la ‘kiuno bila mfupa’ pamoja na mama yake mzazi walifunguka wakati wakiwa katika maeneo ya Ikulu ya Tanzania na wakiwa na raisi Jakaya Kikwete wakitoa shukurani zao za dhati face.

Saturday, December 8, 2012

HII NDIO PASAKA YA Kala Jeremiah


 
Baaba ya maandalizi makubwa mkali Kala Jeremiah sasa ametangaza kuwa albam yake yenye nyimbo 23 ipo kwenye matayarisho ya mwisho.


Albam yake itaitwa Pasaka ikiwa na maana ya ukombozi.
Kama alivyowaahidi mashabiki wake mwisho wa mwezi huu albam hiyo itakuwa sokoni na itakuwa albam yake ya kwanza iliyotayarishwa kwa muda mrefu lakini atakuwa akiisambaza mwenyewe.

Amesema ikiingia sokoni atatoa maelekezo ya sehemu gani itakuwa inapatikana lakini pia atatoa namba za simu ambazo watu wataruhusiwa kupiga na kuongea nae moja kwa moja.

“Albam inakwenda kwa jina la “Pasaka” maana yake ni ukombozi,ndani ya albam hii kuna wimbo ambao unaitwa pasaka ambao umebeba jina la albam ambao ki ukweli ndo wimbo ambao mimi kama KALA JEREMIAH naupenda sana kutokana na ubunifu uliotumika katika wimbo huu,kiukweli wewe mwenyewe ukisikia utaogopa sana,sio wimbo wa kawaida lakini pia utapata kusikia ngoma mbalimbali za ki harakati,” anasema Kala kwenye maelezo yake.

Amesema katika albam hiyo kutakuwa na ngoma za mapenzi, ngoma za usaliti, maombi,na kadhalika na jumla ya mambo yote hayo ndipo alipopata neno pasaka, ambalo linatokana na mapenzi, mateso,maombi, na usaliti, na mwisho kutokana na albam kuwa na mambo mengi ikiwa ni ukombozi pia.

MZIGO MPYA WA RICH MAVOKO


Irene Uwoya Awakimbia ndugu zake NDIKUMANA

MSANII Irene Uwoya na mpenzi wake mcheza soka Ndikumana raia wa Rwanda baada ya kukaa kimya bila sekeseke lolote sasa hali imekuwa kubwa kwani inadaiwa kuwa ndugu wa mcheza soko huyo kutoka Rwanda wameingia nchini kumsaka Uwoya ili wamchukue mtoto wao kwa lengo la kumlea wenyewe. 

Mwandishi wetu alipewa ishu hiyo na mtu wa karibu sana na watu hao aliyefanikisha ndoa yao kufungwa, ambapo alidai kuwa kuna kundi la watu watano ambao ni ndugu wa mcheza soko huyo wameigia nchini kwa lengo la kumsaka Uwoya ili waondoke na mtoto wao. 

Watu hao inadaiwa kuwa ni kaka mcheza soko huyo, dada, mjomba na wengine ni baadhi ya watu ambao walikuwa karibu katka ufanikishaji wa ndoa yao. 

Jamaa huyo alidai kuwa watu hao wameigia dar kimya kimya na wamefikia kwenye hotel moja iliyopo Kariakoo, lakini inaonesha wazi ujio wao si bure kuna kitu kikubwa wamekuja kufanya, ambacho kinamuhusu Uwoya na mtoto wake. 

Chanzo chetu kilidai kuwa ndugu hao wa jamaa wamekuja tangu wiki iliyopita na kuna dada mkubwa wa Ndikumana ambaye anaongoza msafara huu ambaye alikuwa ni mtu wa karibu na Uwoya katika harusi yao. 

“Ndugu wa Ndikumana wametua nchini kutaka kumchukua mtoto wao na inawezekana ishu hii itakuwa imefanya na jamaa baada ya kuona mapenzi yameisha, ujio wao umemshtua sana Uwoya kwani sasa ana haha kutafuta sululu lakini bado hajapata jibu,” kilisema chanzo hicho. 

Wakati huo huo mtandao huo ulipomtafuta Uwoya ili kueleza juu ya ishu hii alipopigiwa simu mara kadhaa iliita bila mafanikio ya kupokelewa na dakika ya mwisho alipopigiwa alipokea lakini hakuweza kuzungumza chochote kwa madai yuko bize na mtoto kwani alisikika akilia sana.

MAKAMUA ft AKON -BADO KUJUANA

R’n'B star wa bongo Makamua aliongea ukweli kwamba mwaka huu uongo mkubwa alioufanya ni kudanganya kwamba single yake ya ‘bado kujuana’ amemshirikisha Super star Akon.

Alisema huo uongo wakati bado video haijatoka ila ukweli ni kwamba hajamshirikisha Akon bali ni Mtanzania anaitwa Eddo ambae kidogo ana sauti kama ya Akon, hii video hapa chini ndio ya hiyo single na huyo Eddo yuko ndani pia, itazame alafu uniambie umeipokeaje mtu wangu.

Wednesday, December 5, 2012

ALIEKUA PRODUCER WA DAYNAMIC REC AWEKWA RUMANDE


John Tm ni mmoja kati ya maproducer wanaotambulika hapa Zanzibar,mara ya mwisho alikua anafanya kazi chini ya Studio iliyopo maeneo ya KIDONGO CHEKENDU.
      Kilichotokea ni kwamba CEO wa Studio hiyo alikua anampa wakati mgumu Producer huyo kwa kuitumia studio hiyo kwa mambo yake Binafsi kama vile mitandao ya kijamii FB na Twitter.owner huyo alikua akitumia muda mkubwa kuchat kupitia Computer ya studo etc
       Baada ya sintofaham hiyo John kama producer alifutwa kazi na kua nje ya Studio hizo,Siku mbili baadae Mmiliki huyo wa Studio alitangaza kua Studio hizo zimeibiwa vifaa na kumshikilia John na baadhi ya wasanii,Jeshi la Polisi liliwashilia na kuwatupa Selo kwa masaa takriban 3.
Nilipozungumza na John aliniambia kua huyo jamaa anataka kumtengenezea mazingira magumu ya kazi yake na uaminifu wake kwa watu,ila ukweli halisi kua Studio hizo hazijavunjwa hata kidogo,amesema suala la kuibiwa hawezi kulizungumza coz hafaham.

Kim Kardashian ndiye mrembo aliyetafutwa zaidi kwenye yahoo! Mwaka 2012,



Mwanamitindo Kim Kardashian amefunika kwenye top ten ya 2012 Yahoo! Searched list. Nyota ya mrembo huyo imeng’aa na kumuweka nafasi ya juu akiwafunika watu wengine maarufu na warembo wenye majina makubwa.

Jina la the Kanye West’s chocolate limeshika nafasi ya tatu baada ya nafasi ya kwanza kukamatwa na ‘election’ na nafasi ya pili kwenda kwa “iPhone 5”. Hii inamfanya Kim kuwa ndiye the most searched person katika kipindi cha mwaka 2012.

Kwa mujibu wa Vera Chan, ambae ni mchambuzi wa Yahoo! Web trend, Kardashian alitafutwa zaidi kwa sababu ya umarufu uliotokana na matukio yake na mikasa ya mapenzi. Moja kati ya mikasa iliyowashawishi watu kumtafuta zaidi kwenye Yahoo! ni battle kati yake na mmewe wa zamani Kris Humphries, na iliyompandisha zaidi ni mikasa kibao ya kimapenzi kati yake na rapper Kanye West.

Sio hayo tu, Vera Chan alisema reality series yake inayorushwa kupitia television ya E! Iliwapa sababu watu wengi ku-msearch kwenye Yahoo!

Mchambuzi huyo amesema,kitu cha kushangaza katika nomination zilizoleta list ya top ten ya mwaka huu ni kwamba habari zote zilizoingia kwenye website zilikuwa zimesomwa tayari na watu, lakini watu waliendelea kuzi-search tena habari hizo hizo mwaka mzima.

Katika list hiyo Kardashian amewafunika wanawake maarufu wengine kama Whitney Houston ambae kifo chake mwaka huu kilisababisha watu wengi wazitafute habari zake, Lindsay Lohan na Jenifer Lopez ambae alikuwa judge wa ‘American Idol’.

Hii ndiyo top 10 ya watu na vitu vilivyotafutwa kupitia Yahoo! mwaka 2012
1.            Election
2.            iPhone 5
3.            Kim Kardashian
4.            Kate Upton
5.            Kate Middleton
6.            Whitney Houston
7.            Olympics
8.            Political polls
9.            Lindsay Lohan
10.         Jennifer Lopez

Mwinyi Goha awa mpole kwa Lady Jay Dee



Mwinyi Goha ampigia Goti Jay dee ataka kurudishwa kundini.
Kinachoonekana kama maisha kumpiga hivi muimbaji huyo wa zamani wa machozi band amemuomba Jay Dee kumrudisha Machozi Band,
Mwinyi aliondoka machozi mwaka huu na kudai amechoshwa na uongozi wa kibabe na Dharau

BABA LEVO AMWAGIWA MAVI

U heard ya clouds fm inaripoti juu ya kisa cha msanii Baba Levo kilichotokana na kumtemea mtu mate ambapo baadae mtu huyo amekuja kulipiza kisasi kwa kumwagia mavi msanii huyu...... Lisikilize sakata hilo hapo chini