Juzi
usiku Kanye West aliwashangaza followers wake wa
Twitter kwa kupost kwa bahati mbaya picha ya mwanamke ambaye kwa haraka
ukimwangalia utamuona anafanana na mpenzi wake Kim Kardashian.
Picha hiyo inamuonesha mwanamke akiwa amekaa kwenye kiti, akiwa uchi na akionekana akila chakula huku akiipa mgongo kamera.
Wakati sura ya mwanamke huyo haionekani full, anaonekana
kuwa kama ni mpenzi wake na Kanye, Kim.
Kwa
mujibu wa mtandao wa MediaTakeOut, Kim alichukia kwa kitendo hicho cha
Kanye kushare picha yake kwenye mtandao huo wa kijamii na
kumuomba aitoe mara moja.
Kanye aliitoa picha hiyo japo story hiyo na Kim iligeuka
kuwa mjadala mkubwa.
Kwa mujibu wa mtandao wa AceShowbiz, ilikuja kubainika
kuwa picha hiyo ni ya nyota wa picha za ngono aitwaye Amia Miley, lakini
amegoma kuthibitisha kama ni yeye.
"Apparently a naked photo of me eating is going
viral.... as Kim Kardashian.... Im confused," aliandika kwenye Twitter.
Unadhani hiyo picha ni ya Kim kweli?
0 comments:
Post a Comment