Saturday, July 23, 2016

WAKALI HAWA WAKIKUTANA KWENYE NGOMA MOJA UNADHANI NINI KITATOKEA ?


Hata wewe unaweza kujiuliza maswali na unatamani maswali yako yakapata majibu hapa Zanzibar kuna wasanii wengi wakali na wana kubalika na kila mtu lakina unaweza ukawa unatamani msanii flani afanye kollabo na flani iliupate ladha unayoitamani

Hawa ni baadhi ya mastar ambao watu wanatamani kuwasikia kwenye ngoma moja


Kila mpenda burudani alikua anatamani kuona wana dada hawa wakifanya walau kazi moja hawa wote niwasanii wanaowakilisha Zanzibar na kila mmoja ana uwezo wake wakuimba
 Smile the ginious na Abramy the voice
Hawa jamaa wana ushikaji wa muda mrefu sana na kipindi cha nyuma walikua na project yao ikifahamika kama wavanilla walikua wasanii watatu abramy smile na nassir lakini mpaka hili kundi linasambalatika hatukuwahi kusikia ngoma

0 comments:

Post a Comment