Monday, December 9, 2013
FID Q NDANI YA RUBY
G
Regendari wa hip hop hapa Tanzania FARID KUBANDA ameamua kuzungusha Fedha zake katika Biashara ya madini. Uchunguzi ambao umefanywa na muandishi wetu uptowntz umeonesha kua FID Q ameingia katika biashara ya madini aina ya RUBY.
BONGO FLAVA IMEANZA KUZAA MATUNDA SOMA HAPA
Wakati wasanii wa Bongo Flava wanalalamika kua mziki huo wanaoufanya hauwalipi. Msanii wa Bongo flava na Bongo MovieShilole yeye kwake mambo yameonekana kua tofauti kupitia Instagram mkali huyo wa mauno ameonekana kuanza kupata matunda ya anachokifanya. Shilole amepost picha ya mjengo wake ambao upo katika hatua za mwisho kumalizika huko maeneo ya ya kimara jijini Dar. Na haya ndo maneno aliyoandika. MUNGU NISAIDIE NALIZE HII KITU ILI WATOTO WANGU WASIJE KUTATA SHIDA.
HIVI NDIVYO BABY MADAHA ALIVYOCHOMOKA KWENYE MTEGO WA MACHOKORAA. SOMA HAPA FULL STORY.

Monday, January 14, 2013
Wednesday, January 9, 2013
NANI MKALI?

JUMAPILI 13/01/2013 NDAN YA BONGO STAZ 9T CLUB BILICANAS NI SHOW KALI YA NANI MKALI WA STAGE KATI YA BABY J & SAY NAG,WAKISINDIKIZWA NA ALONEYM,FAN KISS,NANDY,MOMBA,SWET NEY & SMAIL..
Wamejipanga Kufunikana Wakiwa Sambamba na Madancer Wao waliojifua Vilivyo,Patakuwa hapatosh,Njoo Umshangilie Atakaefunika Stejini USIKOSE!!
KUMBUKA BABY J & SAY NAG WANA BIFU YA UKWELI "Dont Mis
NIKKI WA PILI NA NIKKI MBISHI NDANI YA BEEF ZITO

Alianza Nikki wa Pili aliyeandika:


Baada ya mlolongo mrefu wa vijembe kutoka kwa Mbishi hii ni miongini mwa tweet inayoonekana kuwaendea tena Weusi:
Mi
nikimchana mtu namtaja jina ila wao wakimchana mtu wanazunguka vichakani kutwa
nzima…hahahhaa…waoga bwana..am off the hook yow..