Monday, December 9, 2013

FID Q NDANI YA RUBY

G
Regendari wa hip hop hapa Tanzania FARID KUBANDA ameamua kuzungusha Fedha zake katika Biashara ya madini. Uchunguzi ambao umefanywa na muandishi wetu uptowntz umeonesha kua FID Q ameingia katika biashara ya madini aina ya RUBY.

0 comments:

Post a Comment