
Alianza Nikki wa Pili aliyeandika:


Baada ya mlolongo mrefu wa vijembe kutoka kwa Mbishi hii ni miongini mwa tweet inayoonekana kuwaendea tena Weusi:
Mi
nikimchana mtu namtaja jina ila wao wakimchana mtu wanazunguka vichakani kutwa
nzima…hahahhaa…waoga bwana..am off the hook yow..
0 comments:
Post a Comment