This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Wednesday, October 24, 2012

Rama dee amshauri Loard Eyez baada ya kupatwa na matatizo




Baada ya Loard Eyez kutuhumiwa Kumuibia Ommy Dimpoz vifaa vya gari lake, wasanii na wadau mbali mbali walitoa maoni yao kuhusu tuhuma hizi...lakini hivi karibuni kupitia ukurasa wa facebook, mkali wa R&B ambae yuko nchini Australia ametoa maoni yake kuhusu tukio hili ikiwa ni pamoja na kumshauri Mweusi Lord Eyez toka Arusha, Rama Dee ameandika stautus hii;

"loyd eyez naomba ubadilike kama ukishindwa kubadilika hapa basi,hakuna natakaye weza kukubadilisha hii imefikia sehemu mbaya na aibu hata kuiongelea,badilika ishi kama upo juu ya mika 20,uwe umeiba au haujaiba kutokana na utumiaji wako wa madawa ya kulevya lazima utahusishwa...saidia familia yako kwa kipaji ulicho barikiwa kweli inanisikitisha sana,mimi naomba niondolewe kwenye unafki wa kutetea ujinga,mchizi hali yake mbaya sio nzuri gari limewaka anahitaji msaada Alafu wewe dogo ommy kama ushahidi ikijulikana mchizi hajahusika juwa show zako zitaishia Chalinze ila pale Arusha baadae sana

Hardmad Tunda

Tuesday, October 9, 2012

Chriss Brown kurudiana na Karrueche


Stori kubwa kuhusu CHRIS BROWN siku za hivi karibuni ilikuwa ni kumuacha mpenzi wake KARUCHEE ambaye alianza kuwa naye baada ya kuachana na RIHANA mwaka 2009,sasa siku si nyingi iliripotiwa kuwa alimwacha Karrueche na kurudi kwa RIHANNA na leo tena kuna stori kwamba amemrudia  Karrueche Wewe unapata picha gani juu ya hili na unalionaje suala hili Dondosha Comnts zako kupitia Blog yako hii pendwa.

Kim ataka ndoa ya kawaida tu



Kim Kardashian amekuwa katika mchakato wa kuandaa harusi inayotarajiwa kufanyika katika moja ya visiwa maarufu duniani kama mwanamama huyo na mpenzi wake wa sasa Kanye West hawatabadili msimamo huo

Hii itakuwa ndoa ya pili kwa mwanamama huyo mwenye umri wa miaka 31 ambapo ya kwanza ilikuwa kati yake na mchezaji wa mpira wa kikapu Kris Humphries

Kardashiana alisema ndoa yake hii ya pili haitakuwa kama ile ya kwanza aliyoishi kwa muda wa siku 72 na Humhries

Justin Bieber Ajitosa kwenye Bwawa la Papa



Msanii kinda Justin Bieber, ameamua kupiga moyo konde kwa kuingia kwenye bwawa la samaki aina ya papa
Bieber mwenye umri wa miaka 18, hakuwa peke yake katika bwawa hilo alikuwa na mrembo mwenye jina kubwa nchini Marekani Christina McLarty

Papa ni aina ya samaki ambao wamekuwa wakiogopwa na binadamu kutokana na kula nyama za watu na wanaweza kuua mtu kwa muda mchache, samaki hao wamekuwa wakiogopywa lakini kijana huyo mdogo aliamua kuingia na mrembo huyo kwa ajili ya kupiga picha za wimbo wake mpya

Monday, October 8, 2012

Msiogope ustar wangu ntongozeni.


Mshindi mwenza wa Big Brother Afrika wa mwaka jana Karen Igbo amesema anasikitishwa na tabia ya wanaume kuogopa kumtokea akidai kuwa inaweza kumkosesha mume

Karen anasema wanaume wanamuogopa kutokana na jina lake anasisitiza kuwa sio kigezo cha wao kushindwa kurusha ndoano zao kwani mwisho wa siku anahitaji kupendwa

"Mimi ni mwanamke tena ninahitaji sana kutokewa kwani wakati mwingine huwezi jua na mimi nimekupenda lakini kutokana na mila zetu za kiafrika siwezi kukutokea" anasema Karen

Saturday, October 6, 2012

NICKI MINAJ vs MARIA CAREY











Friday, October 5, 2012

Rick Ross Kutua Dar Leo


Rick Ross kutua Dar leo kwa ajili ya Show yake ya kesho Liders Club bado haijajulikana Time ya kufika kwake ila inatazamwa kua ni mida ya jioni.

Hapa ndipo atakapokamua Rick Ross kesho

RIHANA AACHANISHA WAPENZI.


Picha hii kipindi mtu mzima Chri brown akiwa na mpenzi wake Karrueche kabla awajaacha katika husiano wao wa kimapenzi kama unavyowaona wame shine.
Picha hii sasa ndipo ilileta maswali mengi sana kwa mashabiki wa muziki walijiuliza je mtu mzima Chris brown amerudiana na Rihanna katika Uhusiano wao baada ya kuonekana katika show ya Jay z ambayo ilifanya katika ukumbi wa Barclays Center.Sasa baada ya Karrueche kuona hivyo aliamua kuandika ujumbe katika ukurasa wake wa twitter

Thursday, October 4, 2012