Thursday, October 1, 2015

HOOD C AKIZUNGUMZIA MZIKI WA ZANZIBAR, TONGWE REC, NGOMA YAKE MPYA NA JOSE MTAMBO, LUNDUNO NA Mr. BLUE. HII HAPA AUDIO ISIKILIZE.

Mzaliwa wa Zanzibar ambae anafanya mziki wake pande zote mbili kwa maana ya Zanzibar na Tanzania bara,
Hapa anazungumza na Mkali Nesta kuhusu mustakabali mzima wa maisha yake ya mziki nini kipya toka kwake, wapi anafanya kazi zake Lunduno nakadhalika.
UNAWEZA KUMSIKILIZA HOOD C HAPA AUDIO NNAYO.

0 comments:

Post a Comment