This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Monday, December 9, 2013

FID Q NDANI YA RUBY

G
Regendari wa hip hop hapa Tanzania FARID KUBANDA ameamua kuzungusha Fedha zake katika Biashara ya madini. Uchunguzi ambao umefanywa na muandishi wetu uptowntz umeonesha kua FID Q ameingia katika biashara ya madini aina ya RUBY.

BONGO FLAVA IMEANZA KUZAA MATUNDA SOMA HAPA

Wakati wasanii wa Bongo Flava wanalalamika kua mziki huo wanaoufanya hauwalipi. Msanii wa Bongo flava na Bongo MovieShilole yeye kwake mambo yameonekana kua tofauti kupitia Instagram mkali huyo wa mauno ameonekana kuanza kupata matunda ya anachokifanya. Shilole amepost picha ya mjengo wake ambao upo katika hatua za mwisho kumalizika huko maeneo ya ya kimara jijini Dar. Na haya ndo maneno aliyoandika. MUNGU NISAIDIE NALIZE HII KITU ILI WATOTO WANGU WASIJE KUTATA SHIDA.

HIVI NDIVYO BABY MADAHA ALIVYOCHOMOKA KWENYE MTEGO WA MACHOKORAA. SOMA HAPA FULL STORY.

Staa wa Bongo Flava na Bongo movie wa hapa Tanzania ambae kwa sasa anafanyia shughuli zake za kimuziki nchini 254 KENYA ‘Baby Madaha’ amenusurika kubakwa na vijana wa kihuni nchini Kenya maarufu kama machokoraa.Tukio hilo lilitokea  pande za Mombasa nchini Kenya wakati nyota huyo alipokuwa akirekodi video ya wimbo wake uitwao The Gal Bladder ambapo vijana hao walikatisha shughuli nzima na kuanza kumkimbiza Baby Madaha. “Daah! Ilikuwa noma, ilikuwa usiku sasa wakati meneja wangu akinielekeza matakwa ya video hiyo a STAA wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amenusurika kubakwa na vijana wa kihuni nchini Kenya maarufu kama machokoraa.Tukio hilo lilitokea  pande za Mombasa nchini Kenya wakati nyota huyo alipokuwa akirekodi video ya wimbo wake uitwao The Gal Bladder ambapo vijana hao walikatisha shughuli nzima na kuanza kumkimbiza Baby Madaha. “Daah! Ilikuwa noma, ilikuwa usiku sasa wakati meneja wangu akinielekeza matakwa ya video hiyo ambayo yalihitaji vijana wa mtaani, ghafla wakatokea vijana wenyewe wa mtaani na kutaka kunibaka. Bahati nzuri nilifanikiwa kutimua mbio na kuwazidi,” alisema Baby. Nilipata nafac ya kuchapa Story na Madaha alinieleza kua zoezi hilo halikuweza kufanyika tena kwa siku hiyo had hapo tarehe nyengine itakapo tangazwa na meneja wake huyo