This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Monday, November 12, 2012

Taylor Swift & Justine Bieber waongoza Tuzo za MTV


Jana usiku zilitolewa tuzo za MTV UEROP MUSIC AWARD jijini Frankfurt Ujerumani Justine Biber na Tayla Swift wameongoza kila mmoja kuchukua tuzo 3
Taylor alishinda
    1.Best Woman
  2.Best Look
3.Best Live

Justine Bieber.
1.Best male
2.Best Pop
           3.Best world Stage

Diamond & Dimpoz wapata Ajali.




Jumamosi wiki iliyopita, msanii Diamond alipata ajali barabara ya chole alipokua akitokea Sleepway  kushoot video ya pini lake jipya lenye zengwe hatari tangu litoke (nataka kulewa).
"mida kama ya saa tatu tatu hivi kasoro,nikiwa narudi home, napita mitaa ya arabela mbele kuna Rav 4 mkono wa kulia kuna pikipiki nilikua nataka ku overtake pikipiki, nikataka niikwepe pikipiki kwapembeni kulikua na shimo, nikajaribu kurudi kwenye lami ndio nikaenda kugongana na Rav4..lakini hakuna mtu alieumia,"
"unajua mwisho wa mwaka tena huu, watu wanatoa kafara zao bahati mbaya zinatukuta watu kidogo manguli hazituumizi sana, wepesi wepesi wangeondoka mzima mzima kabisa wangebaki story tu alikufa na ajali, sababu hata ukitazama wanaopata ajali ni wale wanao hit, zinafeli hahhaaaaa i was just kidding." amesema  Diamond



Gari la Diamond
Pia leo hii  majira ya saa 7 mchana nimepokea habari kuhusu ajali nyengine inayo muhusisha msanii wa mziki wa kizazi kipya Omy Dimpoz maeneo ya millenium Tower pia Gari lake aina ya Rover 4 ambalo pia liliibiwa vizaa siku kadhaa nyuma zilizopita na ambae anatajwa kua msanii wa Hip hop toka Arusha Lord Eyez pia  Iimehusika.

Hizi ndo sababu za Jay dee kukataa kufanya colable na Shetta


 Siku kadhaa zilizopita msanii aliefanya vizuri na nyimbo kadhaa ikiwemo 'Nidanganye' Shettah, alitangaza juu ya wimbo wake mpya aliopanga kumshirikisha binti machozi Lady jay dee. Shettah ameelezea mabadiliko yaliyojitokeza juu ya wimbo huo ambao imebidi amshirikishe Linah Sanga na sio Jide kama alivyotangaza awali. Shettah amesema hapo awali alikuwa ameshawasiliana na Lady Jay dee aliyemkubalia kufanya nae wimbo huo na Shettah alimpatia title ya wimbo ili aweze kujiandaa nayo. Mabadiliko yalikuja kujitokeza baada ya Jide kuiskia mistari ya Shettah ya wimbo huo kitu ambacho kilimsababisha kukataa kuimba katika wimbo huo kama walivyokuwa wamekubaliana mwanzo. "mwanzo alikuwa amekubali kabisa na nikampa title ya 'Bonge la bwana' lakini alipokuja kuiskia mistari akasema hakujua kama mimi nimeimba hicho nilichoimba so ni ngumu yeye kuimba sababu hafit kwenye idea hiyo maana hata kiumri yeye ni mkubwa kwangu, ila akasema labda niibadilishe kidogo idea kitu ambacho nimeona kitafanya na mimi nibadilike kuanzia mwanzo mpaka mwisho huku ngoma tayari iko poa. So nimeamua kuifanya na Linah na Jide kasema poa nifanye na mtu mwingine halafu yeye ntakuja kufanya nae wimbo mwingine" alisema Shettah. Shettah anategemea kuuzindua wimbo wake huo mpya wa 'Bonge la bwana' pale Maisha club tarehe 25 mwezi huu wa November, na amewataja wasanii watakao mpa support katika show hiyo kuwa ni pamoja na Feruz, Jaffarai, Pasha, One, Stereo, Young Dee, Shilole na wengine. Wimbo huo umerekodiwa pale G-Records na video yake inatarajiwa kufanywa na Adam Juma wa Visual Lab Next Level.